Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Kama kuna fundi sim humu anajua kucheza na software vzr naomba tuwasiliane make nataka kubali sim version kutoka 4.0.0 kwenda 6.0.1 sim ni Samsung Galaxy S3. Hilo faili la kubadilishia linaitwa CM13

Kama upo njoo tuyajenga nipo Mwanza lkn
 
Sio ifakara ila ni mji mdogo katika wilaya ya kilombero huku kwanza mashamba ni Bei nafu unapata 200000 kwa hekali tena vijiji vyake vina umeme vile vile ardhi inakubali kila aina ya mazao mpunga gunia unapata kwa 50000 vilevile Kuna kilimo cha ufuta afu Kuna mazao ya mboga mboga nyanyachungu wanauza debe 5000 na Kuna wakulima wengi wa ndizi ndizi tunazonunuaga dar 250 mojahuku mkungu unapata kwa1500 Kijiji Cha mbingu afu Kwenye mavazi wanauziwa Bei kubwa lakini wananunua afu ukiwa na mashine ya kupukuchua mahindi unapiga sana pesa Kuna jamaa anayo anawakusanya sana
Madini sana hizi fursa kwa freelancer
 
Mwenye connection na biashara ya mafuta ya alizeti (ambayo hayaja chakachuliwa ) toka Dodoma , mi nipo Iringa mjini kwasasa . kama ataweza kutuma madumu ya mafuta toka Dodoma mbaka Iringa basi itakuwa poa zaidi .

Unahitaji kiasi gani, kwa Dodoma (hasa Chemba na Kondoa) huu ndio msimu wa mavuno ya Alizeti, na kwasasa gunia ni 35,000/- mpaka 40,000/-. Gunia kwa kadirio la chini inatoa Lita 20 ukikoboa na kuchuja.
 
Back
Top Bottom