Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nichek inbox mkuuHutumika kama tiba lishe ya magonjwa mengi kama kisukari, presha, amoeba, typhod sugu, na magonjwa mengineyo mengi pia inaongeza kinga ya mwili, ina balance uzito wa mwili... Ninauza 1kg kwa tsh 7,000 tu kwa jumla, pia rejareja nauza 6,000 tu. Mwenye uhitaji nicheki PM, zinapatikana Mwanza.
Mazao kama yapii na uko sehemu gani mkuuNinapenda nipewe connection ya biashara ya mazao ya chakula baada ya muda muafaka nije niyauze.
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitaka maharage ya mbeya na mchele njoo pmNinapenda nipewe connection ya biashara ya mazao ya chakula baada ya muda muafaka nije niyauze.
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maharage wanauzaje huko kwa debe??Ukitaka maharage ya mbeya na mchele njoo pm
Maharage yako aina mbalimbali so na bei zinatofautiana kulinganaMaharage wanauzaje huko kwa debe??
Mzee wa mlimba huko maharage hawa limiMaharage wanauzaje huko kwa debe??
Mzee wa mlimba huko maharage hawa limi
mzee wa mlimba nitahitaji wale kuku wadogo wadogo kwa ajili ya kufuga siku za baadae kidogo, nakamilisha banda kwanza wanauza bei gani maana wakubwa wale si ulisema 5,000Itakua sikiwahi kuona shamba la Maharage
Hiyo bei hailipi kiongoziMaharage yako aina mbalimbali so na bei zinatofautiana kulingana
-aina ya maharage
-ubora wa maharage husika kwa maana ya super na kawaida
... Ila kwa maharage yenye beii kabisa ni tsh38000 debe yaani hiyo ndo first quality na kipenzi cha wateja
Nishaondoka kule nipo kwa makondamzee wa mlimba nitahitaji wale kuku wadogo wadogo kwa ajili ya kufuga siku za baadae kidogo, nakamilisha banda kwanza wanauza bei gani maana wakubwa wale si ulisema 5,000
Kaja kufanya shopping kidogo mcity si unajua kuna asilimia 80% ya punguzo.Hahaaaa, umekuja kusherehekea siku ya Jumapili.
kuna Ballo konki zinakua na shuka zenye pair na foronya zake.Kwa aliepo dsm wapi naweza pata mashuka mazuri ya mtumba.Ukiniunganisha na muuzaji wa jumla itakua njema zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi?bei zake?kuna Ballo konki zinakua na shuka zenye pair na foronya zake.
karibu
Unauza bei ganikuna Ballo konki zinakua na shuka zenye pair na foronya zake.
karibu
Nenda Ubungo kituo cha mafuta kuna duka wanauza chakula cha kuku na hizo malighafi ukitaka kwa jumla au kupimiwa kwa kilo chache. Duka linaitwa Assad Animal FeedsMwenye kujua upatikanaiji wa malighafi za kutengeneza chakula cha kuku kwa bei ya jumla