Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Mkuu Umomi unapoelekea ni kuuharibu huu uzi.
Mkuu punguza jazba
Screenshot_20200603-210736.jpg
 
Sawa mkuu. Inshallah
Waachie wenye uzi wapate madini kwanza basi
Madin wap? Unadhan kuandka hapa ndo kufanya kaz? Mkuu hivi kama kama ww 24hrs upo jf hzo kaz unafanya saa ngapi? Au ndo nackiaga biashara ya mtandaoni?

Chapen kaz achen longo longo
 
Madin wap? Unadhan kuandka hapa ndo kufanya kaz? Mkuu hivi kama kama ww 24hrs upo jf hzo kaz unafanya saa ngapi? Au ndo nackiaga biashara ya mtandaoni?

Chapen kaz achen longo longo
We dogo uwe unaendana na mazingira basi. Kama wewe uzi haukufai basi waachie wanaojifunza waendelee kujifunza usilete mizaha kila sehemu

Hata miaka 10 iliopita sikuwa hivo
Screenshot_20200603-212650.jpg
 
Sio kila mtu Ni mfanyakaz, Kuna wengine ndio maboss wa shemeji yako au baba yako humu.
Jifariji tu! Aliyekwambia kuwa maboss kutwa nzima na ucku mzm mtandaoni ni nani? Ukiwa ungekuwa boss wa baba usingekuwa unahangaika na connection za kitoto hapa ungetumia mitandao kama zoom, kupatana nk kupata wateja au bithaa unazohitaji.

Tulia ww huwez jifariji mbele yangu ww. Kapige kaz
 
Jifariji tu! Aliyekwambia kuwa maboss kutwa nzima na ucku mzm mtandaoni ni nani? Ukiwa ungekuwa boss wa baba usingekuwa unahangaika na connection za kitoto hapa ungetumia mitandao kama zoom, kupatana nk kupata wateja au bithaa unazohitaji.

Tulia ww huwez jifariji mbele yangu ww. Kapige kaz
Sorry, umesema connection za kitoto!?? Kwani baba yako anafanya kazi gani? tuanzie hapo kwanza.
 
Back
Top Bottom