kahata
Member
- Jan 17, 2021
- 88
- 52
Wapi kuna chimbo la viatu vya kike vya mtumba au magauni ya mtumba vyote ni grade A msaada. Na wanauzaje?
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Nahitaji kamongo na Kambale. Nina bucha DarNahitaji kupata masoko ya wanunuzi wa mabucha ya samaki sato,sangara,kamongo na kambare wenye uhitaji wa kuanzia kg. 100 nakuendelea kwa mikoa ya Dar ,Morogoro,Dodoma,Mbeya,Arusha,Kilimanjaro na mikoa mwingine. Samaki wanatoka kanda ya ziwa wateja wewe waaminifu.
Inawezekana mkuu,nijue bei yako ya kuchukuliaNahitaji kamongo na Kambale. Nina bucha Dar
Kwa bei gani?Kama unataka viatu vya mtumba na jinsi njoo Uganda huku utapata mtumba grade 1
Naomba gharama zakeKaribu nitakutengenezea na toroli lake 0763542515 au 0774150519
Uko wapi mkuu na viatu jinsia gani?Anayefanya biashara ya viatu anitafute tufanye biashara.
Unahitaji kwa matumizi yako au Biashara? Mimi nafanya biashara hiyo piaSalaaams wakuu.
Natafuta connection ya kuagiza bidhaaa kama mapazia, mashuka (100% cotton), duvet, wardobes n.k kutoka china au thailand.
Natanguliza shukran
Sijajua bei ya uko ipoje, mara nyingi muuzaji utaja bei kisha mnunuzi ubargainInawezekana mkuu,nijue bei yako ya kuchukulia
Kwa huku musoma unamnunua Kamongo na Kambale kwa kichwa (mnapatana bei) siyo kwa kg. ukiniambia nikupe bei nitajidanganya. Mfano kwa hiki kipindi wanaanza kuwa wengi. Na kuna muda mtu unanunua kg. 100 kwa mapatano kwa mlanguzi.Sijajua bei ya uko ipoje, mara nyingi muuzaji utaja bei kisha mnunuzi ubargain
Unahitaji kwa matumizi yako au Biashara? Mimi nafanya biashara hiyo pia
Hata mimi nahitaji mkuu wanako kununua hizo rasta za jumla ukipata nishtueNataka kujua nyewle aina za rasta kwa jumla zinapatikana wapi? Najua zinauzwa kariakoo ila na wao huwa wananunulia wapi?
Agiza China boss bei rahisi sanaBiashara mkuu
MorogoroMlimba ni mkoa gani?