Kweli kabisa nduguWazo murua
Una experience ya miaka mingapiMimi natafuta connection ya Kazi yoyote ya halali iwe tempo au permanent.
Taaluma yangu ni ualimu wa secondary History na kiswahili.
Niko flexible naweza kufanya Kazi yoyote inayonipa nafasi ya kujifunza na kudapt mazingira
Una experience ya miaka mingapi
Hakika dada angu...Me nadhani wale wenye fursa za mda mrefu na mfupi wangeziweka hapa ili wanaoona zinafaa waziombe
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Unaweza kulima ??Mimi natafuta connection ya Kazi yoyote ya halali iwe tempo au permanent.
Taaluma yangu ni ualimu wa secondary History na kiswahili.
Niko flexible naweza kufanya Kazi yoyote inayonipa nafasi ya kujifunza na kudapt mazingira