computerkiddy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2015
- 488
- 532
wakuu heshima zenu
muda mwingi sana watanzania wamekuwa wakiihitaji kuingia katika soko la kimtandao dunia nzima but tatizo limekua ni kwamba option iliyopo ya online money transfer ni crdit card na yenyewe sio benki zote
western union clients wengi hawapend kutumia
wkishaona unatumia western union kwenye online business yako basi wanajua ni mpiga dili tu wanaachana na wewe
pay pal ndo big deal kwani unaweza receive mony and send money internationally and even using their paypal crdit card
tatizo lipo kwa bot wanashindwa kurekebisha system zao ili paypal waintergrate their API to bot systems
mheshimiwa maghufuli naomba atumimie madaraka yake kuwaforce bot walegeze mizengwe yao coz paypal ikisharuhusiwa hakuna atakaye anza kulalamika na ajira
mfano mzuri watengenza vinyago hawahita kukaa ofisin na kusubiria wateja waje walipe in cash
instead mtu anaweza uza vinyago kwa ebay dunia nzima in a fraction of seconds
kuna watu katika zilizoendelea wanapiga hadi dola 5000 kwa siku kwa kuuza online dunia nzima
kuna watu ni mafundi pc and electronics wanachukua used and demaged parts wanazerepair then wanaziuza online kama used devices
assume wewe ni fund computa unaingiza milion kumi kwa siku ukitokea bongo...thats crazy
kwa anayajua id ya maghufuli naomba amtag ili aone fursa tunazokosa watanzania
moderator aukeep stiky huu uzi ili matokea tuyaone ndani ya these couple of months
thanks in advance Moderator
muda mwingi sana watanzania wamekuwa wakiihitaji kuingia katika soko la kimtandao dunia nzima but tatizo limekua ni kwamba option iliyopo ya online money transfer ni crdit card na yenyewe sio benki zote
western union clients wengi hawapend kutumia
wkishaona unatumia western union kwenye online business yako basi wanajua ni mpiga dili tu wanaachana na wewe
pay pal ndo big deal kwani unaweza receive mony and send money internationally and even using their paypal crdit card
tatizo lipo kwa bot wanashindwa kurekebisha system zao ili paypal waintergrate their API to bot systems
mheshimiwa maghufuli naomba atumimie madaraka yake kuwaforce bot walegeze mizengwe yao coz paypal ikisharuhusiwa hakuna atakaye anza kulalamika na ajira
mfano mzuri watengenza vinyago hawahita kukaa ofisin na kusubiria wateja waje walipe in cash
instead mtu anaweza uza vinyago kwa ebay dunia nzima in a fraction of seconds
kuna watu katika zilizoendelea wanapiga hadi dola 5000 kwa siku kwa kuuza online dunia nzima
kuna watu ni mafundi pc and electronics wanachukua used and demaged parts wanazerepair then wanaziuza online kama used devices
assume wewe ni fund computa unaingiza milion kumi kwa siku ukitokea bongo...thats crazy
kwa anayajua id ya maghufuli naomba amtag ili aone fursa tunazokosa watanzania
moderator aukeep stiky huu uzi ili matokea tuyaone ndani ya these couple of months
thanks in advance Moderator