Jstar1 JF-Expert Member Aug 1, 2019 1,389 1,337 Oct 1, 2020 #1 Wengi wetu tumekua tunamiliki magari, ila hatujui vifaa wala bei mwishowe tunaishiwa kupigwa, huu uzi ni maalum kwa ajiri ya kujua bei za vifaa. Uliza bei ya kifaa ujibiwe, kutana na watu mbali mbali wenye uzoefu na magari.
Wengi wetu tumekua tunamiliki magari, ila hatujui vifaa wala bei mwishowe tunaishiwa kupigwa, huu uzi ni maalum kwa ajiri ya kujua bei za vifaa. Uliza bei ya kifaa ujibiwe, kutana na watu mbali mbali wenye uzoefu na magari.
desayi JF-Expert Member Aug 27, 2017 3,282 5,452 Oct 1, 2020 #2 Jstar1 said: Wengi wetu tumekua tunamiliki magari, ila hatujui vifaa wala bei mwishowe tunaishiwa kupigwa, huu uzi ni maalum kwa ajiri ya kujua bei za vifaa. Uliza bei ya kifaa ujibiwe, kutana na watu mbali mbali wenye uzoefu na magari. Click to expand... Anza wewe kuweka bei
Jstar1 said: Wengi wetu tumekua tunamiliki magari, ila hatujui vifaa wala bei mwishowe tunaishiwa kupigwa, huu uzi ni maalum kwa ajiri ya kujua bei za vifaa. Uliza bei ya kifaa ujibiwe, kutana na watu mbali mbali wenye uzoefu na magari. Click to expand... Anza wewe kuweka bei