Uzi maalum wa kuishauri Simba katika mechi na Al Ahly zinazokuja mfululizo

Manula mipira ya Kona, Kross hata set piece sio mzuri na wale wa Misri ni wazuri sana, wana beki yao hiyo Kolibaly anapiga vichwa, mechi ya mwanzo na Vita katika mipira minne kipindi cha kwanza ya Kross mitatu alicheza yy japokuwa hakufunga lakini ilikuwa ya hatari. Huyu Manula wenu anatakiwa awe makini au mtafutieni mbadala wake, si mliona mechi na Vita watu wapiga free header mbele ya kipa na beki. Pili Simba iwaandae wachezaji kiakili, waarabu wanajua kucheza na akili ya refa nazani mliona mechi ya Vita refa alivyowaua na jamaa hawakupanic, walicheza mpira mwanzo mwisho, sasa nyinyi mvurugwe kidogo mkipanic, mnakula wiki.
Manula ni kweli ana madhaifu yake, ila kwa ile game ya juzi sio ya kumlaumu. Wale jamaa wanajua sana kutumia 'set pieces', ni moja ya strength zao. Ndio maana wakiwa kwao huwa wanacheza sana mpira wa kasi ili kulazimisha beki ifanye makosa ya kutoa faulo au kona. Na hili suala hata zahera wa yanga alisema simba iwe makini nalo sana, ikumbukwe huyu zahera pia ni kocha msaidizi wa Congo (kocha mkuu ni ibenge wa Vita). Ile siku karibu kila battle ya mtu mmoja mmoja tulikua tunapoteza. Tukimlaumu manula tunamuonea

the Legend☆
 
Mimi nitanukuhu ushauri wa Kocha msaidizi wa AS VITA FC.... Raul Shungu! Alisema....

"SIMBA NI TIMU NZURI, INA WACHEZAJI WAZURI, TATIZO INACHEZA CHENGA NYINGI ZISIZO NA MAANA, CHENGA AMBAZO SIO ZA KUSHAMBULIA, CHENGA ZA KUCHEZA KWENYE UPANDE WAO"

"SIMBA WAKIWA NA MPIRA NDO WANAKUA WAMOJA, WAKIPOTEZA SIO WAMOJA TENA, HAWAKABI PAMOJA, WANATAKIWA WAKIWA NA MPIRA WATENGENEZE MASHAMBULIZI KWA NGUVU, WAKIPOTEZA WOTE WARUDI KUKABA PAMOJA"

"All in all wana wachezaji wanaoweza kuleta matokeo, ila sio kwa aina ya Moira wao wanaocheza sasa, inabidi wabadirike"
 
Manula ni kweli ana madhaifu yake, ila kwa ile game ya juzi sio ya kumlaumu. Wale jamaa wanajua sana kutumia 'set pieces', ni moja ya strength zao. Ndio maana wakiwa kwao huwa wanacheza sana mpira wa kasi ili kulazimisha beki ifanye makosa ya kutoa faulo au kona. Na hili suala hata zahera wa yanga alisema simba iwe makini nalo sana, ikumbukwe huyu zahera pia ni kocha msaidizi wa Congo (kocha mkuu ni ibenge wa Vita). Ile siku karibu kila battle ya mtu mmoja mmoja tulikua tunapoteza. Tukimlaumu manula tunamuonea

the Legend☆
Mpaka nimeandika hivi ujue Manula nimemfuatilia, toka Azam namjua sana, mechi ya Lesotho si uliona na sio hiyo mechi nyingi mipira ya Kona, krosi, set piece kwake ni tatizo na beki ya Simba ni wazito kureact.
 
habari wadau..

naomba tuungane mashabiki wa simba, na timu zingine Tanzania ambao ni wazalendo, tushauri timu yetu..

wote tunajua fixture ya simba inayofata ni ngumu sana kuliko iliyopita..

maana tarehe 2 anaenda misri kucheza na kigogo cha africa al ahly na baada ya wiki moja anarudi dar es salaam na kurudiana na kigogo hiko cha africa taifa..

kucheza na al ahly mechi mbili mfululizo sio shughuli ndogo kwa tunaojua mpira..

maana mziki ni mnene kuliko As vita, mnene kuliko mazembe, mnene kuliko enyimba.. mziki ni mnene hasa...

maana al ahly wana kila kitu.. wachezaji wazuri, pesa nyingi, wanabebwa na caf, mashabiki wenye zengwe... yaani kila kitu..

je kocha atumie mbinu zipi...

unakaribishwa kushauri... nina imani kocha atausoma humu

Umeongea ukweri mukuu. Ira Hapo kwenye "wanabebwa na caf" sio kweri mukuu, ware jamaa wanajuwa mupira.
 
Mpaka nimeandika hivi ujue Manula nimemfuatilia, toka Azam namjua sana, mechi ya Lesotho si uliona na sio hiyo mechi nyingi mipira ya Kona, krosi, set piece kwake ni tatizo na beki ya Simba ni wazito kureact.
Wapi nimesema manula hana madhaifu kwenye set pieces? Hilo liko wazi na linajulikana, nlichomaanisha ni kua udhaifu wa manula sio sababu ya sisi kufungwa nyingi juzi. Jamaa wanajua sana kutumia set pieces, ungewaangalia mwaka jana kwenye shirikisho ungeelewa nnachomaanisha. Mtu yupo na beki anam-mark lakini bado ana-manage kumzidi akili na nguvu na hatimaye kuruka free header, kosa la manula liko wapi hapo? Hata Ausems alivyohojiwa baada ya game alikiri jamaa walikua wana-win almost every individual battle, na pia hatukuweza kumudu mpira wao wa kasi ambao ulikua unatuchanganya na kutulazimisha kufanya makosa mengi, hivyo ndo vilivyotu-cost siku ile, sio manula

the Legend☆
 
wenzako wanakwambia huo ndio utamaduni wa Simba. pasi nyingi zisizo na faida. mpira wa kuzamani sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Utamaduni wa kupiga pasi za polepole kisha ushambulie kwa kasi ulishapitwaga na wakati kitambo sana.
Leo tunashuhudia timu ya taifa ya Brazil inashindwa kufurukuta kama zamani.
Uhollanzi nayo imefutika katika medani ya soka shauri ya mpira wa pasipasi.
Mpira wa kisasa ni pasi ndefu na kasi, yaani kanyaga fasta twende mbele kutafuta goli.
Ushindi ni magoli.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ni Ushauri tu,cos alidaka wkt yupo Yanga kwa mchina tukashinda moja kule tukatoa sare so anauzoefu
Munishi amechuja kwa kutocheza mechi mfululizo. Angalia mechi na Mashujaa alivyofungwa magoli ya mepesi sana. Anahitaji kufanya mazoezi kwa kucheza mechi nyingi za mashindano kabla hajaanza kupangwa kucheza mechi ngumu kama ijayo na waarabu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Munishi amechuja kwa kutocheza mechi mfululizo. Angalia mechi na Mashujaa alivyofungwa magoli ya mepesi sana. Anahitaji kufanya mazoezi kwa kucheza mechi nyingi za mashindano kabla hajaanza kupangwa kucheza mechi ngumu kama ijayo na waarabu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpangeni bwana Kwani mnadhani ndo mtashinda?
 
as vita 5-0 simba ,nilikuwa naweka record sawa ,aya tuendelee na mjadala wa kuishauri simba
 
Kosa la Mwalimu jana nikumuanzisha Mzamiru tu katika mechi ya kasi namna ile ningemwelewa angemwanzisha Haruna Niyonzima au Ndemla maana wanaweza kupiga pasi za macho.

Mzamiru anafaa kwenye mechi zenye tempo ya chini ili kuabsorbe mashambulizi ya timu pinzani maana hana kasi sana na defensive midfielder siyo attacking kama hao niliowataja.

Nikweli Omog alikuwa anamtumia Mzamiru kama attacking midfield lakini team ilikuwa inatembea taratibu sana na kuwa predictable.

Flanks za simba kulia na kushoto zilipwaya sana kiasi cha kuwafanya As vita wacheze kama wako mazoezini tu.
Mo Hussein na Gyan siyo defenders kwenye mechi ngumu hasa mnaposhambuliwa wakipanda wanasahau kurudi au wanachelewa sana hiki ndicho kilichotuua Jana

Wale jamaa walikuwa quick tunapopoteza mpira wanapiga kwenye flanks zetu wandistabilize defence wanafunga au wanapata free kicks
kwanza waanze na safu ya beki wawa kwa kweli performance yake inategemea saaana na game na game yule ukishamtangulizia tu mpira Kwisha habari yake hivyo safu ya beki warekebishe mapungufu pia sehemu ya kiungo kinakatika saaana all the way tukishindwa away bas tuhakikishe home kwa mchina tuvune point zote 9

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kosa la Mwalimu jana nikumuanzisha Mzamiru tu katika mechi ya kasi namna ile ningemwelewa angemwanzisha Haruna Niyonzima au Ndemla maana wanaweza kupiga pasi za macho.

Mzamiru anafaa kwenye mechi zenye tempo ya chini ili kuabsorbe mashambulizi ya timu pinzani maana hana kasi sana na defensive midfielder siyo attacking kama hao niliowataja.

Nikweli Omog alikuwa anamtumia Mzamiru kama attacking midfield lakini team ilikuwa inatembea taratibu sana na kuwa predictable.

Flanks za simba kulia na kushoto zilipwaya sana kiasi cha kuwafanya As vita wacheze kama wako mazoezini tu.
Mo Hussein na Gyan siyo defenders kwenye mechi ngumu hasa mnaposhambuliwa wakipanda wanasahau kurudi au wanachelewa sana hiki ndicho kilichotuua jana

Wale jamaa walikuwa quick tunapopoteza mpira wanapiga kwenye flanks zetu wandistabilize defence wanafunga au wanapata free kicks

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa walituzidi kabisa alafu mbaya walitufunga kirahisi Sana mpaka unaweza kujiuliza iwapo Simba ilikuwa imejiandaa kwa huo mchezo.
 
Manula alipeeform sana game ile kama angekuwa hovyo siku ile tungekula nyingi.

Suala la set pieces simba musimu huu ni kama hawalifanyii mazoezi tena msimu uliopita nusu ya magoli yao yalipatikana kwa set pieces huku fundi wao akiwa kichuya na okwi nafikri Mwalimu asiwe anamsahau sana huyu kiumbe anapohitaji magoli maana anaweza kutengeneza goal dakika yoyote
Manula ni kweli ana madhaifu yake, ila kwa ile game ya juzi sio ya kumlaumu. Wale jamaa wanajua sana kutumia 'set pieces', ni moja ya strength zao. Ndio maana wakiwa kwao huwa wanacheza sana mpira wa kasi ili kulazimisha beki ifanye makosa ya kutoa faulo au kona. Na hili suala hata zahera wa yanga alisema simba iwe makini nalo sana, ikumbukwe huyu zahera pia ni kocha msaidizi wa Congo (kocha mkuu ni ibenge wa Vita). Ile siku karibu kila battle ya mtu mmoja mmoja tulikua tunapoteza. Tukimlaumu manula tunamuonea

the Legend☆

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona dimbwini FC huwa hawafurukuti na huo mpira wao wa pasi ndefu ?
Utamaduni wa kupiga pasi za polepole kisha ushambulie kwa kasi ulishapitwaga na wakati kitambo sana.
Leo tunashuhudia timu ya taifa ya Brazil inashindwa kufurukuta kama zamani.
Uhollanzi nayo imefutika katika medani ya soka shauri ya mpira wa pasipasi.
Mpira wa kisasa ni pasi ndefu na kasi, yaani kanyaga fasta twende mbele kutafuta goli.
Ushindi ni magoli.





Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yawezekana pia simba waliovertrain mpaka wakawa na fatique mentally and physically.
Ila walichokiexploit ni kutumia makosa ya defenders wetu wa pembeni tu na makosa yetu yakushindwa kucheza set pieces vizuri.
Otherwise mbinu ya mwalimu ya kuposses mpira ilifanikiwa sana
Jamaa walituzidi kabisa alafu mbaya walitufunga kirahisi Sana mpaka unaweza kujiuliza iwapo Simba ilikuwa imejiandaa kwa huo mchezo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom