Uzi maalum wa kuishauri Simba katika mechi na Al Ahly zinazokuja mfululizo

FRESHMAN

JF-Expert Member
Sep 29, 2011
8,822
33,517
Habari wadau,

Naomba tuungane mashabiki wa simba, na timu zingine Tanzania ambao ni wazalendo, tushauri timu yetu.

Wote tunajua fixture ya simba inayofata ni ngumu sana kuliko iliyopita.

Maana tarehe 2 anaenda misri kucheza na kigogo cha africa al ahly na baada ya wiki moja anarudi dar es salaam na kurudiana na kigogo hiko cha africa taifa.

Kucheza na al ahly mechi mbili mfululizo sio shughuli ndogo kwa tunaojua mpira..

Maana mziki ni mnene kuliko As vita, mnene kuliko mazembe, mnene kuliko enyimba.. mziki ni mnene hasa.

Maana al ahly wana kila kitu.. wachezaji wazuri, pesa nyingi, wanabebwa na caf, mashabiki wenye zengwe, yaani kila kitu.

Je kocha atumie mbinu zipi?

unakaribishwa kushauri. Nina imani kocha atausoma humu
 
Simba waachane na mazoezi ya PushUp kwenye vitaulo.

Kila nikiwaangalia kwenye mazoezi namwona kocha wa viungo anapoteza mda mwingi sana kujinyoosha kwenye vitambaa mikeka.

Simba ianze kutumia muda mwingi kucheza mpira kwa kasi dakika sitini halafu wanapumzika dakika kumi na wanaendelea dakika sitini nyingine jumla dakika mia na ishirini. Hapo jasho ni lazima litoke kwa wingi na wenye pumzi ndogo wanacheua.

Hizo mia na ishirini iwe ni mchamchaka tu na hakuna mchezaji kutembea uwanjani kama yule bwana mdogo.

Waige mpira wa kijerumani wa pasi ndefu na spidi huku wakijifunza kutopoteza pasi na kulenga goli wakiwa kwenye kumi na nane.
Mabeki wajifunze kukaba kwa vitendo, kwa ushambuliaji wa aina zote yaani chini, kona au majaro.

Mabeki inabidi watembee sana kwenye koni, maana pumzi yao ni ndogo mno, kwa washambuliaji wenye kasi kama Kampamba wa Nkana, na Silimani wa Al-Ahally.

Goli la penati la AS Vita dhidi ya Simba lilitokana na pumzi ndogo ya Sultani Wawa. Mshambuliaji alimpita kwa kasi na akashindwa kumkaba kama alivyoshindwa kasi ya Kampamba iliyosababisha goli la pili pale Kitwe.

Mabeki wajifunze pia kukaba mipira ya juu yaani Kona na Krosi za adui. Mechi na AS vita zilipigwa kona mbili na goli mbili, yani mshambuliaji anapiga free heda, huku mabeki wanamwangalia tu hata kuruka naye hakuna.

Simba waanze kufanya mazoezi ya kujiandaa kupambana na timu kubwa na sio kucheza na timu za ligi ya ndani.
Simba lazima iendane na thamani yake,

Kocha wa AS Vita kasema wazi kabisa kuwa Simba wanacheza mpira ki legelege sana, na alikuwa anawafunga mechi zote alipokuwa kocha wa Yanga Afrika, sababu ya aina yao ya uchezaji.

Simba waachane na kupoteza muda mwingi, nasema tena, muda mwingi kujinyoosha kwenye vitaulo.
Wachezee mpira uwazoee.

Mwisho Simba iwe inasajiri wachezaji wa umri wa kucheza mpira ili waendane na malengo ya timu.

Haiingii akilini unamsajiri Zana ambaye hana msaada kwenye mechi za kimataifa. Kumsajiri mchezaji wa kimataifa halafu anaishia kukaa benchi ni hujuma kwa timu.

Motto,
Sasa Ni Kasi Tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwanza waanze na safu ya beki wawa kwa kweli performance yake inategemea saaana na game na game yule ukishamtangulizia tu mpira Kwisha habari yake hivyo safu ya beki warekebishe mapungufu pia sehemu ya kiungo kinakatika saaana all the way tukishindwa away bas tuhakikishe home kwa mchina tuvune point zote 9

Sent using Jamii Forums mobile app
 
habari wadau..

naomba tuungane mashabiki wa simba, na timu zingine Tanzania ambao ni wazalendo, tushauri timu yetu..

wote tunajua fixture ya simba inayofata ni ngumu sana kuliko iliyopita..

maana tarehe 2 anaenda misri kucheza na kigogo cha africa al ahly na baada ya wiki moja anarudi dar es salaam na kurudiana na kigogo hiko cha africa taifa..

kucheza na al ahly mechi mbili mfululizo sio shughuli ndogo kwa tunaojua mpira..

maana mziki ni mnene kuliko As vita, mnene kuliko mazembe, mnene kuliko enyimba.. mziki ni mnene hasa...

maana al ahly wana kila kitu.. wachezaji wazuri, pesa nyingi, wanabebwa na caf, mashabiki wenye zengwe... yaani kila kitu..

je kocha atumie mbinu zipi...

unakaribishwa kushauri... nina imani kocha atausoma humu
Mechi ijayo manula apumzike acheze Munishi🏃🏃🏃
 
Alietegemea kua tutachukua points kwa vita kwake basi sio mfuatiliaji sana wa soka la Africa. So kipigo cha jana wala hakijatutoa kwenye lengo, ingawa ingekua vyema tungefungwa kwa tofauti ya goli chache. al ahly na vita ni timu kubwa kwenye soka la Afrika, ila ugenini hawawezi kua na mentality sawa na nyumbani (rejea mchezo wa al ahly na saoura juzi, walinusurika kipigo).

So mpango wa awali wa kuchkua points 9 taifa bado uko pale pale. Kwa kujua ugumu wa michezo ya ugenini tulishapanga tangu mwanzo kupambana kutafuta matokeo (win au hata draw) kwenye mechi moja tuu, kati ya 3 za ugenini, na hapa walengwa sana ni saoura. Points 9 taifa, ukijumlisha na 1 au 3 za kwa saoura tunakua na points za kutosha kutuvusha

the Legend☆
 
Simba waachane na mazoezi ya PushUp kwenye vitaulo.
Kila nikiwaangalia kwenye mazoezi namwona kocha wa viungo anapoteza mda mwingi sana kujinyoosha kwenye vitambaa mikeka.
Simba ianze kutumia muda mwingi kucheza mpira kwa kasi dakika sitini halafu wanapumzika dakika kumi na wanaendelea dakika sitini nyingine jumla dakika mia na ishirini. Hapo jasho ni lazima litoke kwa wingi na wenye pumzi ndogo wanacheua.
Hizo mia na ishirini iwe ni mchamchaka tu na hakuna mchezaji kutembea uwanjani kama yule bwana mdogo.
Waige mpira wa kijerumani wa pasi ndefu na spidi huku wakijifunza kutopoteza pasi na kulenga goli wakiwa kwenye kumi na nane.
Mabeki wajifunze kukaba kwa vitendo, kwa ushambuliaji wa aina zote yaani chini, kona au majaro.
Mabeki inabidi watembee sana kwenye koni, maana pumzi yao ni ndogo mno, kwa washambuliaji wenye kasi kama Kampamba wa Nkana, na Silimani wa Al-Ahally.
Goli la penati la AS Vita dhidi ya Simba lilitokana na pumzi ndogo ya Sultani Wawa. Mshambuliaji alimpita kwa kasi na akashindwa kumkaba kama alivyoshindwa kasi ya Kampamba iliyosababisha goli la pili pale Kitwe.
Mabeki wajifunze pia kukaba mipira ya juu yaani Kona na Krosi za adui. Mechi na AS vita zilipigwa kona mbili na goli mbili, yani mshambuliaji anapiga free heda, huku mabeki wanamwangalia tu hata kuruka naye hakuna.
Simba waanze kufanya mazoezi ya kujiandaa kupambana na timu kubwa na sio kucheza na timu za ligi ya ndani.
Simba lazima iendane na thamani yake,
Kocha wa AS Vita kasema wazi kabisa kuwa Simba wanacheza mpira ki legelege sana, na alikuwa anawafunga mechi zote alipokuwa kocha wa Yanga Afrika, sababu ya aina yao ya uchezaji.
Simba waachane na kupoteza muda mwingi, nasema tena, muda mwingi kujinyoosha kwenye vitaulo.
Wachezee mpira uwazoee.
Mwisho Simba iwe inasajiri wachezaji wa umri wa kucheza mpira ili waendane na malengo ya timu.
Haiingii akilini unamsajiri Zana ambaye hana msaada kwenye mechi za kimataifa. Kumsajiri mchezaji wa kimataifa halafu anaishia kukaa benchi ni hujuma kwa timu.

Motto,
Sasa Ni Kasi Tu.













Sent using Jamii Forums mobile app
wenzako wanakwambia huo ndio utamaduni wa Simba. pasi nyingi zisizo na faida. mpira wa kuzamani sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simba waachane na mazoezi ya PushUp kwenye vitaulo.
Kila nikiwaangalia kwenye mazoezi namwona kocha wa viungo anapoteza mda mwingi sana kujinyoosha kwenye vitambaa mikeka.
Simba ianze kutumia muda mwingi kucheza mpira kwa kasi dakika sitini halafu wanapumzika dakika kumi na wanaendelea dakika sitini nyingine jumla dakika mia na ishirini. Hapo jasho ni lazima litoke kwa wingi na wenye pumzi ndogo wanacheua.
Hizo mia na ishirini iwe ni mchamchaka tu na hakuna mchezaji kutembea uwanjani kama yule bwana mdogo.
Waige mpira wa kijerumani wa pasi ndefu na spidi huku wakijifunza kutopoteza pasi na kulenga goli wakiwa kwenye kumi na nane.
Mabeki wajifunze kukaba kwa vitendo, kwa ushambuliaji wa aina zote yaani chini, kona au majaro.
Mabeki inabidi watembee sana kwenye koni, maana pumzi yao ni ndogo mno, kwa washambuliaji wenye kasi kama Kampamba wa Nkana, na Silimani wa Al-Ahally.
Goli la penati la AS Vita dhidi ya Simba lilitokana na pumzi ndogo ya Sultani Wawa. Mshambuliaji alimpita kwa kasi na akashindwa kumkaba kama alivyoshindwa kasi ya Kampamba iliyosababisha goli la pili pale Kitwe.
Mabeki wajifunze pia kukaba mipira ya juu yaani Kona na Krosi za adui. Mechi na AS vita zilipigwa kona mbili na goli mbili, yani mshambuliaji anapiga free heda, huku mabeki wanamwangalia tu hata kuruka naye hakuna.
Simba waanze kufanya mazoezi ya kujiandaa kupambana na timu kubwa na sio kucheza na timu za ligi ya ndani.
Simba lazima iendane na thamani yake,
Kocha wa AS Vita kasema wazi kabisa kuwa Simba wanacheza mpira ki legelege sana, na alikuwa anawafunga mechi zote alipokuwa kocha wa Yanga Afrika, sababu ya aina yao ya uchezaji.
Simba waachane na kupoteza muda mwingi, nasema tena, muda mwingi kujinyoosha kwenye vitaulo.
Wachezee mpira uwazoee.
Mwisho Simba iwe inasajiri wachezaji wa umri wa kucheza mpira ili waendane na malengo ya timu.
Haiingii akilini unamsajiri Zana ambaye hana msaada kwenye mechi za kimataifa. Kumsajiri mchezaji wa kimataifa halafu anaishia kukaa benchi ni hujuma kwa timu.

Motto,
Sasa Ni Kasi Tu.













Sent using Jamii Forums mobile app
wenzako wanakwambia huo ndio utamaduni wa Simba. pasi nyingi zisizo na faida. mpira wa kuzamani sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Manula mipira ya Kona, Kross hata set piece sio mzuri na wale wa Misri ni wazuri sana, wana beki yao hiyo Kolibaly anapiga vichwa, mechi ya mwanzo na Vita katika mipira minne kipindi cha kwanza ya Kross mitatu alicheza yy japokuwa hakufunga lakini ilikuwa ya hatari. Huyu Manula wenu anatakiwa awe makini au mtafutieni mbadala wake, si mliona mechi na Vita watu wapiga free header mbele ya kipa na beki. Pili Simba iwaandae wachezaji kiakili, waarabu wanajua kucheza na akili ya refa nazani mliona mechi ya Vita refa alivyowaua na jamaa hawakupanic, walicheza mpira mwanzo mwisho, sasa nyinyi mvurugwe kidogo mkipanic, mnakula wiki.
 
Back
Top Bottom