FUTURE HUNTER
JF-Expert Member
- Apr 30, 2018
- 2,022
- 2,589
Inatoa zote. Ni 3 in 1L382 inatoa na copy? Au inaprint tu.
Inatoa zote. Ni 3 in 1L382 inatoa na copy? Au inaprint tu.
Mkuu hio mashine nilikuwa nayo ikaanza wenge nilipoenda kwa fundi akasema zijisha print page 2000 mpk 2500 huwa zinaanzaga kufa chakufanya ni kuchukuwa mpya tu maana kuitengeneza ni 250000 na mpya nilinunua 380,000 natarajia nunua nyingine mwezi wa 1 mwakani
Espon printer L220,inaandika check ink level,wakati wino upo.Tatizo ni nini?
Umeshafanikiwa?
Uko sure l382 haiscan wala kutoa copy?Hiyo itakuwa ni paper jam angalia screen ya computer inasema nini lazima kuna massage inatoa ukichomeka waya wa printer kwenye computer!
Hiyo printer haijatengenezwa kutoa copy wala ku scan bali ni ku print tuu hivyo sio tatizo bali imeundwa hivyo!
Mkuu hii ni epson au canon?000_0000
Turn the main power off and on. If the device does not recover, contact your deale or service representative.
Wadau kuna anayejua kutatua tatizo hili kwenye epson 2206?
Utakua unazungumzia zile sponge zinazonyonya wino mchafu. Si ndio? Kama ni hivyo hakuna madhara lakini zitasinyaa kiasi. Best solution ni kuzisafisha kisha zisitumike tena. Hapa unatoboa sehemu ya nyuma ya printer kisha unapotisha mrija nje kwaajili ya kumwaga wino mchafuHivi iktokea ukafungua na ukaziosha ink pad Kisha kuzikausha.Kuna Madhara?
Ni ink pad au ink tanks?Hivi iktokea ukafungua na ukaziosha ink pad Kisha kuzikausha.Kuna Madhara?
Nadhani alimaanisha ile waste ink tankNi ink pad au ink tanks?
Mkuu kweli ni canon nilipitiwa. Kuna kipindi ilifanyaga hivi ila kuna mtu alirekebishaga.Mkuu hii ni epson au canon?
Au kuna namba/herufi umeiacha?
Pole sana. Chek pmMkuu kweli ni canon nilipitiwa. Kuna kipindi ilifanyaga hivi ila kuna mtu alirekebishaga.
Sema liprinta lenyewe likubwa lakini halitoagi color.
Poa poa.Pole sana. Chek pm
Vitu vinapanda na kushuka,Wakati nanunua Mimi mwaka 2018 zilikuwa 1.2M, mwaka juzi nilinunua kile kipindi Cha korona imepamba Moto ilikuwa 1.1 , Bei ya kuanzia , nadhani Bei inarange kwenye 900K -1.2M kwa mwanza.Nataka ninunue epson l805 sijui kwa mwanza ni bei gani
Mkuu em nisaidie kwa mawazo aisee kwahiyo nichukue ipi ambayo haiwahi kuharibika? Ila hiyo 900000 mpaka 1.2m ipo juu sana maana kwa Dar ni 650000 mkuu.Vitu vinapanda na kushuka,Wakati nanunua Mimi mwaka 2018 zilikuwa 1.2M, mwaka juzi nilinunua kile kipindi Cha korona imepamba Moto ilikuwa 1.1 , Bei ya kuanzia , nadhani Bei inarange kwenye 900K -1.2M kwa mwanza.
Ila hizi mashine zimekuwa mbovu Sana,sinawahi kuharibika,ya kwangu ya mwaka 2018 toleo jipya haijawahi nisumbua,ila Kuna jamaa zangu wamenunua baada ya kuzoeleka sokoni zinaharibika mapema Sana.
Hebu angalia Kam kuna toleo jipya
Sidhani kama kwa far Ni hiyo Bei,Kuna jamaa mwaka. 2020 aliagiza dar kwa sh 800KMkuu em nisaidie kwa mawazo aisee kwahiyo nichukue ipi ambayo haiwahi kuharibika? Ila hiyo 900000 mpaka 1.2m ipo juu sana maana kwa Dar ni 650000 mkuu.
Dar ukienda mwenyewe unapata mkuu ila kwa 750000 mpaka 800000Sidhani kama kwa far Ni hiyo Bei,Kuna jamaa mwaka. 2020 aliagiza dar kwa sh 800K