Uzi Maalumu wa EPSON printers, Ushauri, matatizo, maelekezo, matengenezo nk

Kama unataka kusave gharama nunua Epson zipo kuanzia laki 4 kwa mpya, wino za mitungi utatumia kwa muda mrefu.

Kuna Hp pia ni nafuu zinauzwa kuanzia 120000 ila wino zake ni gharama na pia zina ujazo mdogo.
Nimenunua Epson l 800 haina hata mwez mzee Sasa kununua nyingine itakua mtihani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upo Dom maeneo gani

Wasalaam wakuu,
Uzi huu utumike kupashana habari kuhusu epson printers, iwe ushauri, au kutatua matatizo mbalimbali ya hizi printer, basi taarifa zake zikusanyike hapa kuwasaidia watumiaji wengi na wenye kuhitaji kununua wanaweza kujifunza mambo mbalimbali kupitia huu uzi.
Karibuni wataalam na watumiaji wote tuyajenge.


*************&&&&&&&&&&***********&&&&&&&&&************&&&&&&&&&************
Kwa wanaohitaji ku-reset ink pad counter wasiliana namimi PM bei inategemea na model ya printer kuna za bure pia kama printer yako itaangukia kwenye kundi la bure nitakupa bila gharama.

Au ukikutana na hii message hapa chini nicheki,

View attachment 1223909
 
Wakuu nahitaji kununua printer ya epson inayoweza kuprint, scan na copy kwa ajili ya stationery yangu ndogo...nina photocopy mashine kwa hiyo hii itakuwa ya kuprint coloured, ni model gani nzuri ambayo pia sio garama sana
Anza na L 382 BEI YAKE PIA NI RAFIKI SANA

sent from toyota Allex
 
Nipatie mawasiliano yako mkuu tufanye biashara ya Epson l382 kama upo nazo
Nilizonazo ni za matumizi kiongozi, Pia ni bora ukanunua mpya, Wauzaji wa used wengi sio waaminifu, hawezi kukwambia matatizo au kama ilishapelekwa kwa fundi kwa tatizo lolote.
Kuna duka fulani lilikua kariakoo Zawadi technology jina lao ila wamehamia posta, huwa nanunua printer kwao wana bei nzuri kidogo.
Kwa huku Dom bei za mpya ni ghali sana.
Kuna L805 nilinunua mpya 690,000/= Dsm, ila huku dom kuna maduka yanauza mpaka 1.3M hiyo printer unaweza kujionea mwenyewe.
 
Sawa mkuu maana last time l382 nilipata kariako kwa 380
Nilizonazo ni za matumizi kiongozi, Pia ni bora ukanunua mpya, Wauzaji wa used wengi sio waaminifu, hawezi kukwambia matatizo au kama ilishapelekwa kwa fundi kwa tatizo lolote.
Kuna duka fulani lilikua kariakoo Zawadi technology jina lao ila wamehamia posta, huwa nanunua printer kwao wana bei nzuri kidogo.
Kwa huku Dom bei za mpya ni ghali sana.
Kuna L805 nilinunua mpya 690,000/= Dsm, ila huku dom kuna maduka yanauza mpaka 1.3M hiyo printer unaweza kujionea mwenyewe.
 
Kwa wale wenye printer za epson na inakuletea ujumbe huu "inkpad is at the end of its service life" usichanganyikiwe wala kuwaza. Lipo suluhisho kwa gharama nafuu sana na unapata huduma ndani ya dakika kumi tu kutoka kwetu.

Pia iwapo utaelekezwa na ukashindwa kutatua tatizo, tunakuunganisha nasi mojakwamoja ofisini kupitia Team Viewer (hii ni application inayounganisha mtumiaji mmoja kwenda kwa mwingine na kumpa access mmojawao kutumia pc/android devices hata kama yupo mbali)

Pia kwawale wanaohitaji Printer mpya za epson, zinapatikana aina zote. Tunatuma mikoani kwa uaminifu kabisa.

Karibu sana Evatony Solution tukuhudumie.
Mawasiliano: +255767086446(calls, sms, WhatsApp)
 
Kwa wataalam na mafundi nina shida moja, kuna hii printer Epson L805 ina tatizo la horizontal banding au lugha ingine inaprint ila kuna vistari vidogo vidogo hutokea, nilifanya nozzle cleaning ila haikusaidia kitu, nikaja kuangalia encoder strip ilikua imechafuka na wino nikaja kununua mpya na kubadili ila tatizo halijaisha.
Msaada kipi cha ziada nitatue tatizo hili wakuu.
View attachment 1101559View attachment 1101562
Pia ni vema ukaingua kwenye printer properties alaf select unachotaka kuprint kama ni document iwe ni standard quality na kama ni picha bas chagua quality iliyo juu itasaidia mimi ndo nafanya hivyo mara kwa mara ikitokea hivyo hasa ninapoprint passport na imesaidia
 

Wasalaam wakuu,
Uzi huu utumike kupashana habari kuhusu epson printers, iwe ushauri, au kutatua matatizo mbalimbali ya hizi printer, basi taarifa zake zikusanyike hapa kuwasaidia watumiaji wengi na wenye kuhitaji kununua wanaweza kujifunza mambo mbalimbali kupitia huu uzi.
Karibuni wataalam na watumiaji wote tuyajenge.


*************&&&&&&&&&&***********&&&&&&&&&************&&&&&&&&&************
Kwa wanaohitaji ku-reset ink pad counter wasiliana namimi PM bei inategemea na model ya printer kuna za bure pia kama printer yako itaangukia kwenye kundi la bure nitakupa bila gharama.

Au ukikutana na hii message hapa chini nicheki,

View attachment 1223909
L382 iko na huo ujumbe
 
Wakuu, PRINTER ya EPSON L3110: Ina tatizo la kuwaka kwa ku_blink taa zote (nyekundu na kijani),

Inaprint vizuri.

Ila haitoi copy wala haiscan.
Na ina miezi mitatu tu tangu inunuliwe.

Naomba mwongozo wa utatuzi wa hili.
 
Back
Top Bottom