Uzi maalumu tuliowahi kuibiwa na wasaidizi wa ndani(Housegirl)

kisokolokwinyo20

JF-Expert Member
Apr 15, 2019
472
422
Hivi majuzi tu nilikuwa na msaidizi wa ndani kwangu kutokea mikoa ya Kaskazini, alikuwa anatimiza wajibu wake vizuri kuanzia kuwahi kuamka, kufanya usafi, kupika na kumuangalia mtoto wangu mdogo.

Lakini hapa majuzi amenipiga tukio kwa kuniibia pesa zangu ninazotafuta kila siku kwa kuvuja jasho jingi.

Yani aliingia ndani kwangu kisha akapekua hadi akakuta wallet iliyokuwa imenona mshiko kisha akasepa nayo.

Hawa watu hata uwe mwema vipi hawaishi vituko.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siri ya dada wa kazi ni kuwa wiki ya kwanza akianza kazi unaweza sema hapa nimeokota dodo kwa jinsi anavyojituma.Sisi tulipigwa 70k anyway hatukumhisi. Ila alipika wali boflo so wakati wa kula nikasema huu wali si mzuri. Kesho yake tumeenda church ile tumerudi tunakuta masufuria yote kayatoboa na msumari na kasepa zake.

Yeye ni mtu wa kuleeee "Mike T ningekuwa star, ningekuwa na mkwanja kachaa, ningekuwa mi mrefu na mkwanja kachaa Iringa town ingekuwa balaa"
 
Nasikiaga wanasema mnawalipa kidogo hiyo aliyochukua ni bonus yake
Lina ukweli kwa wengine Ni malipo na mateso lakini kwangu Ni tofauti mkuu.
Naamini ule usemi usemao "mgogo MGOGORO" Miaka ya nyuma kidogo nililetewa house girl mshahara Laki na hamsini,kazi yake kubwa Ni kuangalia nyumba na kujipikia chakula chake Cha mchana KAZI ZOTE HUFANYWA NA WANAFAMILIA LAKINI ALINI IIBIA MTOTO KWA USHURIANO NA JIRANI WAKAMSAFIRISHA NJOMBE!
 
Pole mkuu,ni bora kuweka mlinzi kazi za home fanyeni wenyewe madada wa kazi siyo wema kabisaaa
 
Lina ukweli kwa wengine Ni malipo na mateso lakini kwangu Ni tofauti mkuu.
Naamini ule usemi usemao "mgogo MGOGORO" Miaka ya nyuma kidogo nililetewa house girl mshahara Laki na hamsini,kazi yake kubwa Ni kuangalia nyumba na kujipikia chakula chake Cha mchana KAZI ZOTE HUFANYWA NA WANAFAMILIA LAKINI ALINI IIBIA MTOTO KWA USHURIANO NA JIRANI WAKAMSAFIRISHA NJOMBE!
Comments kama hizi zinaacha maswali mengi ya kiriwaya kichwani!

Mgelikuwa mnachanganua msala mzima ulikuwaje, maana msomaji unamwacha na 'ombwe' asijue kilichoendelea baada ya mtoto kuibwa!

Je alipatikana? Je huyo mwizi alitiwa mbaroni nk nk!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Comments kama hizi zinaacha maswali mengi ya kiriwaya kichwani!

Mgelikuwa mnachanganua msala mzima ulikuwaje, maana msomaji unamwacha na 'ombwe' asijue kilichoendelea baada ya mtoto kuibwa!

Je alipatikana? Je huyo mwizi alitiwa mbaroni nk nk!

Sent using Jamii Forums mobile app

Wanakera bora wakae kimya tu,,.
Eti waliniibia mtoto na kusafirisha njombe?
Kaishia hapo tu utazania huyo mtoto anathamani ya chupa ya chai au flat tv..
Kuibiwa mtoto ni issue nyeti mzee funguka mwisho wa siku alipatikanaje
 
Wanakera bora wakae kimya tu,,.
Eti waliniibia mtoto na kusafirisha njombe?
Kaishia hapo tu utazania huyo mtoto anathamani ya chupa ya chai au flat tv..
Kuibiwa mtoto ni issue nyeti mzee funguka mwisho wa siku alipatikanaje
Hahahahaaaaa...
Hapo anaweza endelea hivi..."Aliniibia mtoto na kumsafirisha Njombe ,mimi kesho nikaenda kwenye mishe nikaona mambo hayaendi kabisa nawaza mtoto tu nikaamua kurudi nyumbani kucheki cheki muvi baadae nikatazama tamthilia ya sultani halafu nikaamua nilale ili kupunguza mawazo...".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee kwa usawa huu kama ww na mkeo wote ni wafanyakazi na mnayegemea mkizaa mtoto mumtafute house girl kwa kimshahara chenu cha 80000 ni bora mkaacha kuzaa tu huyo mtoto atapata tabu sana

Pia istoshe kuwa hatapata malezi mazuri akiwa mtoto ni wakike ni hatari na akiwa wa kiume ndio kabisa
Na housemaid ukimnyanyasa anakosa pa kulipizia machungu yako hivyo jua basi atamlipizia mtoto wako mdogo ili kusuuza nafsi take

Nadhani mlipata kisa cha kule mabibo miaka ya nyuma 2010 house girl alimuweka mtoto kweny oven na yy akachapa sake raba!
Ndio mana nawapenda sana wanawake majobless( mama wa nyumbani) namzalisha weeeee analea watoto wangu vizur tukishafunga uzazi na mfungulia biadhara maisha yanaendlea

Love u sana mama .............

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi majuzi tu nilikuwa na msaidizi wa ndani kwangu kutokea mikoa ya Kaskazini, alikuwa anatimiza wajibu wake vizuri kuanzia kuwahi kuamka, kufanya usafi, kupika na kumuangalia mtoto wangu mdogo.

Lakini hapa majuzi amenipiga tukio kwa kuniibia pesa zangu ninazotafuta kila siku kwa kuvuja jasho jingi.

Yani aliingia ndani kwangu kisha akapekua hadi akakuta wallet iliyokuwa imenona mshiko kisha akasepa nayo.

Hawa watu hata uwe mwema vipi hawaishi vituko.




Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wanaoitwa house girls siku hizi baadhi ni mawakala wa matapeli. Anakuwa anamilikiwa na mtandao wa matapeli halafu anatafuta kazi. Akipata anafanya vizuri sana siku za kwanza kumbe anawataimu tu na siku akipata mwanya anachukuwa chake na kusepa. Kundi la pili ni wale waliokuja mjini na kuasi... wamekuwa machangudoa. Na hivyo hivyo. Anatafuta kazi anafanya siku mbili tatu akapata nafasi anaiba na kusepa. House girl unayeweza kumuamini ni yule ambaye umeletea kutoka kijijini kwenu, na mnajua kwao.
 
Yaani huyu mpare kutoka hedaru si akaiba penzi la mke wangu, waziwazi hivi mchana kweupeeee!,
alinza mara aniwekee paja wazi,mara ajifanye amekosea khnga imeanguka.

Nikalamba weeee! mpaka nikjichokea embe dodo, kama kawa, baada ya hilo tendo nilimzaba vibao kisawa sawa akaumuka huyu hata kaa asahau maisha yake yote, nikamkemea una taka kuua familia yangu? ndo walivo kutuma,utawezaje fanya hivi na boss wako, halafu safirisha kwao. ila hakuthubutu kusema.
 
Mm wangu nilimshtukia anapanga mipango ya uasi..nikamsafirisha usiku wa manane
 
Siri ya dada wa kazi ni kuwa wiki ya kwanza akianza kazi unaweza sema hapa nimeokota dodo kwa jinsi anavyojituma.Sisi tulipigwa 70k anyway hatukumhisi. Ila alipika wali boflo so wakati wa kula nikasema huu wali si mzuri. Kesho yake tumeenda church ile tumerudi tunakuta masufuria yote kayatoboa na msumari na kasepa zake.

Yeye ni mtu wa kuleeee "Mike T ningekuwa star, ningekuwa na mkwanja kachaa, ningekuwa mi mrefu na mkwanja kachaa Iringa town ingekuwa balaa"
Hiyo paragraph ya mwisho imenifurahisha sana.
 
Hawa wanaoitwa house girls siku hizi baadhi ni mawakala wa matapeli. Anakuwa anamilikiwa na mtandao wa matapeli halafu anatafuta kazi. Akipata anafanya vizuri sana siku za kwanza kumbe anawataimu tu na siku akipata mwanya anachukuwa chake na kusepa. Kundi la pili ni wale waliokuja mjini na kuasi... wamekuwa machangudoa. Na hivyo hivyo. Anatafuta kazi anafanya siku mbili tatu akapata nafasi anaiba na kusepa. House girl unayeweza kumuamini ni yule ambaye umeletea kutoka kijijini kwenu, na mnajua kwao.
Watu wanakula maisha kilaini sana
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom