kisokolokwinyo20
JF-Expert Member
- Apr 15, 2019
- 472
- 422
Hivi majuzi tu nilikuwa na msaidizi wa ndani kwangu kutokea mikoa ya Kaskazini, alikuwa anatimiza wajibu wake vizuri kuanzia kuwahi kuamka, kufanya usafi, kupika na kumuangalia mtoto wangu mdogo.
Lakini hapa majuzi amenipiga tukio kwa kuniibia pesa zangu ninazotafuta kila siku kwa kuvuja jasho jingi.
Yani aliingia ndani kwangu kisha akapekua hadi akakuta wallet iliyokuwa imenona mshiko kisha akasepa nayo.
Hawa watu hata uwe mwema vipi hawaishi vituko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini hapa majuzi amenipiga tukio kwa kuniibia pesa zangu ninazotafuta kila siku kwa kuvuja jasho jingi.
Yani aliingia ndani kwangu kisha akapekua hadi akakuta wallet iliyokuwa imenona mshiko kisha akasepa nayo.
Hawa watu hata uwe mwema vipi hawaishi vituko.
Sent using Jamii Forums mobile app