The happiness of your life depends upon the quality of your thoughts. So think Happy and Positive.This morning will never ever come back in your life again. Get up and make the most of it. Good morning.
It's not possible to make everyone happy, but it's possible to be happy with everyone!If you haven’t been able to achieve something, today is the best time to start working towards it again. Good morning.
Nawe piaAsubuhi njema unayesoma...
Have a nice and happiest day.Success is not just a measure of how big you can DREAM, it is also a measure of how much you can DO. Good morning.
Unamaanisha Mwifa ana lala sana."Opportunities will knock on your door every morning. But if you keep sleeping they will simply pass you by. Good morning"
Morning demiss God be with youKwako Mwifwa
Wewe rafiki yangu wa ukweli kwenye shida na raha Nikutakie asubuhi njema iliyojaaa baraka tele na upendo mwingi.
Nakuombea uianze siku yako vema Ukiwa umejaa furaha tele .
Unajua Jinsi ninavyokumiss asubuhi nikiingia hapa Jf nikakosa hata notification yako.
Nakuombea uendelee na moyo huo huo rafiki yangu wa pekee wa hapa Jf.
Nikutakie asubuhi njema iliyojaaa amani, upendo, furaha, faraja, tabasamu, na kila aina ya vipepeo wanaopepea na maua mazuri kuipendezesha asubuhi yako.
Ni mm rafiki yako uliyenifundisha Jf.
Demiss (Cha mdeko)
=MwifwaUnamaanisha Mwifa ana lala sana.
Sawa shemeji=Mwifwa
Ni wikiendi nyingine tena ambayo ni tofauti na iliyopita na ijayo.Hapanaila anaweza kupitiwa akalala sana
Cc. Inna have a wonderful day my dearKwako Mwifwa
Wewe rafiki yangu wa ukweli kwenye shida na raha Nikutakie asubuhi njema iliyojaaa baraka tele na upendo mwingi.
Nakuombea uianze siku yako vema Ukiwa umejaa furaha tele .
Unajua Jinsi ninavyokumiss asubuhi nikiingia hapa Jf nikakosa hata notification yako.
Nakuombea uendelee na moyo huo huo rafiki yangu wa pekee wa hapa Jf.
Nikutakie asubuhi njema iliyojaaa amani, upendo, furaha, faraja, tabasamu, na kila aina ya vipepeo wanaopepea na maua mazuri kuipendezesha asubuhi yako.
Ni mm rafiki yako uliyenifundisha Jf.
Demiss (Cha mdeko)
Ni kweli hatuna budi kumshukuru Mungu. sana sana mimi maana.....Ni wikiendi nyingine tena ambayo ni tofauti na iliyopita na ijayo.
Hatuna budi kumshukuru Mungu kwa kutuwezesha kufika hii siku ya leo.
Mungu akufanyie wepesi kwa kila jambo zuri ama baya kwa siku ya leo.
Asubuhi njema cha mdeko