Uzi maalumu kwa wapenzi wa Wine tu!

Youngstunna

JF-Expert Member
Jul 5, 2016
261
295
Wale wapenzi wa divai au wine mnakaribishwa kushare experience yenu katika ladha tofauti tofauti za divai na ipi ni favorite kwako.

Divai (kutoka Kifaransa du vin) ni kileokinachotengenezwa kwa majimaji ya zabibu.

Pengine inaitwa pia: mvinyo (kutoka Kirenovinho), ingawa jina hilo linaweza kutumika kwa vileo vikali zaidi.

Inawezekana kutumia pia majimaji ya matunda mengine ili kupata kinywaji cha kufanana ingawa watu wengine hawapendi kukiita "divai".

Aina mbili zinazotengenezwa hasa ni divai nyekundu na divai nyeupe.

Divai nyeupe hupatikana kama maji ya zabibu pekee huchachua. Divai nyekundu inapatikana kama tunda lote yaani maji pamoja na maganda huchachua.

Kuna aina za divai za kuchemka yaani zinatoa viputo vya gesi vidogovidogo. Maarufu kati ya divai hizo ni shempeni kutoka mkoa wa Champagne katika Ufaransa.

Iliingia pia katika dini za Misri, Babeli na Ugiriki ya Kale. Osiris (Misri), Dionisi (Ugiriki) na Gilgamesh (Babeli) walikuwa miungu iliyohusika na divai ama kwa kuileta kwa binadamu au kwa kulinda kilimo chake.

Katika BibliaEdit

Katika Biblia Nuhu anatajwa kama mnywaji wa kwanza wa divai. Katika kitabu cha Zaburidivai ni ishara ya furaha, kwa kitabu cha Mithali ni dawa la mwenye huzuni lakini kuna pia maonyo dhidi ya hatari za ulevi.

Kitabu cha Yoshua bin Sira (31:27-29) kinasema: ”Kwa wanadamu mvinyo ni kama maji ya uzima, ukinywa kwa kiasi. Je, anao uzima gani mtu asiye na mvinyo? Nayo imeumbwa ili kuwafurahisha wanadamu. Mvinyo ni furaha ya moyo na changamko ya roho, ikinywewa kwa wakati wake na ya kutosha. Lakini kunywa mno ni uchungu wa roho, na fedheha, na ugomvi.”

Katika Agano Jipya Yesu anatumia divai na mzabibu kama ishara za uzima wa milele na pia kwa umoja wa watakatifu. Jinsi ilivyo katika Uyahudi kwenye ibada ya jioni ya Sabato, divai ni sehemu za ibada ya Ekaristiau chakula cha Bwana.

Katika UislamuEdit

Uislamu ni dini ambamo wafuasi wengi hupinga divai pamoja na vinywaji vya kileo.

Qurani yenyewe ina matamko mbalimbali juu ya divai. Mizabibu ni sehemu ya uumbaji wa Allah (sura 16, 10-11), kwenye Paradisowaumini watakuwa na maji, maziwa, divai na asali tele (sura 47,15). Sura 2,119 inaona pande mbili kwenye divai: "Wanakuuliza juu ya divai (Kar. khamar)[1] na kamari. Sema: Katika hivyo mna madhara makuu na manufaa kwa watu. Lakini madhara yake ni makubwa zaidi kuliko manufaa yake." Katika sura 5, 90-91 divai hutajwa kama uchafu na kazi ya shetani.

Aya hizi zinachukuliwa na wataalamu wengi kama kupiga marufuku divai na kileo kwa jumla; wataalamu wachache huona ya kwamba Qurani haitumii neno "haramu" kwa hiyo wanataka kupiga marufuku si divai yenyewe lakini kiasi kile kinacholeta ulevi. Hoja la kupiga ulevi wote marufuku limekuwa hoja kuu kati ya Waislamu; inaonekana pia katika hadithi kadhaa za mtume Muhammad



Kwa Mimi nimekunywa wine tofauti ila pearl bay wine ni the best na alcohol yake ni ndogo sana.

Karibuni.
images%20(53).jpeg
images%20(54).jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
.hahaha..umepumzika tu wewe...hongera..ila mm sio inanipeleka puta nop...nikinywa tumbo linauma .nimeacha red meat nw nahamia huko..isinikoseshe raha mie

Hahah daah kweli umeamua aisee,ni mwendo wa white meat tu.

Afu khs ulcers hata sielewi kama ndo hua ninayo au la,kuna kipindi nikikaa na njaa muda mrefu nasikia kama maumivu flani hivi ya mgongo hivi kama siku 4 mfululizo then maumivu yanapotea hivyo hivyo.

Sa sijui ndio yenyewe hio au la.
 
Hahah daah kweli umeamua aisee,ni mwendo wa white meat tu.

Afu khs ulcers hata sielewi kama ndo hua ninayo au la,kuna kipindi nikikaa na njaa muda mrefu nasikia kama maumivu flani hivi ya mgongo hivi kama siku 4 mfululizo then maumivu yanapotea hivyo hivyo.

Sa sijui ndio yenyewe hio au la.

.ndo hiyo mkuu..mgongo unakuwa unauma balaa
 
Daah basi hio inanihusu mkuu,miaka mingi tu naisikiaga hio hali afu inapotea then inarudi tena.

Ila nikigonga msosi kwa wkt hua sisikii kabisa hali hio kwa kipindi kirefu.

So mkuu kuna dawa unameza au kuna misosi unapiga tu inasaidia ku solve inshu hio,ili nijue kifuatacho sasa.
Kwakweli dawa za hosp zinatuliza tu...kuna dawa nilipewa ya kisunna imenishinda ..ni bamia wameisaga...ss mm bamia zinanishindaga .mwebzangu aloitumia amepona kwa kias kikubwa/
 
Sijaelewa hapa, zinanenepesha kvp
Sio kwamba ukipiga wine inafanya mmeng'enyo unafanyika kwa haraka zaidi
Alafu haina carbohydrates kama bia na sugar yake ni natural

Red wine zinanenepesha ila white ndo hazinenepeshi...sema white huwa mostly ni dry...
 
Wale wapenzi wa divai au wine mnakalibishwa kushare experience yenu katika radha tofauti tofauti za divai na ipi ni favorite kwako

Divai (kutoka Kifaransa du vin) ni kileokinachotengenezwa kwa majimaji ya zabibu.

Pengine inaitwa pia: mvinyo (kutoka Kirenovinho), ingawa jina hilo linaweza kutumika kwa vileo vikali zaidi.

Inawezekana kutumia pia majimaji ya matunda mengine ili kupata kinywaji cha kufanana ingawa watu wengine hawapendi kukiita "divai".

Aina mbili zinazotengenezwa hasa ni divai nyekundu na divai nyeupe.

Divai nyeupe hupatikana kama maji ya zabibu pekee huchachua. Divai nyekundu inapatikana kama tunda lote yaani maji pamoja na maganda huchachua.

Kuna aina za divai za kuchemka yaani zinatoa viputo vya gesi vidogovidogo. Maarufu kati ya divai hizo ni shempeni kutoka mkoa wa Champagne katika Ufaransa.

Iliingia pia katika dini za Misri, Babeli na Ugiriki ya Kale. Osiris (Misri), Dionisi (Ugiriki) na Gilgamesh (Babeli) walikuwa miungu iliyohusika na divai ama kwa kuileta kwa binadamu au kwa kulinda kilimo chake.

Katika BibliaEdit

Katika Biblia Nuhu anatajwa kama mnywaji wa kwanza wa divai. Katika kitabu cha Zaburidivai ni ishara ya furaha, kwa kitabu cha Mithali ni dawa la mwenye huzuni lakini kuna pia maonyo dhidi ya hatari za ulevi.

Kitabu cha Yoshua bin Sira (31:27-29) kinasema: ”Kwa wanadamu mvinyo ni kama maji ya uzima, ukinywa kwa kiasi. Je, anao uzima gani mtu asiye na mvinyo? Nayo imeumbwa ili kuwafurahisha wanadamu. Mvinyo ni furaha ya moyo na changamko ya roho, ikinywewa kwa wakati wake na ya kutosha. Lakini kunywa mno ni uchungu wa roho, na fedheha, na ugomvi.”

Katika Agano Jipya Yesu anatumia divai na mzabibu kama ishara za uzima wa milele na pia kwa umoja wa watakatifu. Jinsi ilivyo katika Uyahudi kwenye ibada ya jioni ya Sabato, divai ni sehemu za ibada ya Ekaristiau chakula cha Bwana.

Katika UislamuEdit

Uislamu ni dini ambamo wafuasi wengi hupinga divai pamoja na vinywaji vya kileo.

Qurani yenyewe ina matamko mbalimbali juu ya divai. Mizabibu ni sehemu ya uumbaji wa Allah (sura 16, 10-11), kwenye Paradisowaumini watakuwa na maji, maziwa, divai na asali tele (sura 47,15). Sura 2,119 inaona pande mbili kwenye divai: "Wanakuuliza juu ya divai (Kar. khamar)[1] na kamari. Sema: Katika hivyo mna madhara makuu na manufaa kwa watu. Lakini madhara yake ni makubwa zaidi kuliko manufaa yake." Katika sura 5, 90-91 divai hutajwa kama uchafu na kazi ya shetani.

Aya hizi zinachukuliwa na wataalamu wengi kama kupiga marufuku divai na kileo kwa jumla; wataalamu wachache huona ya kwamba Qurani haitumii neno "haramu" kwa hiyo wanataka kupiga marufuku si divai yenyewe lakini kiasi kile kinacholeta ulevi. Hoja la kupiga ulevi wote marufuku limekuwa hoja kuu kati ya Waislamu; inaonekana pia katika hadithi kadhaa za mtume Muhammad



Kwa Mimi nimekunywa wine tofauti ila pearl bay wine ni the best na alcohol yake ni ndogo sana.

Karibuni.View attachment 1395542View attachment 1395543

Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ya haya makitu ni bei aise
 
Back
Top Bottom