Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IPO chini Sana aisee nimejaribu kuweka spacers ya inchi moja lkn bado IPO chini Ila Kwa kifupi ni mpaka niweke rim sports na tairi za size 205Vp rough road haisumbui mi naiona ipo chini sana
Carina Ti@pureviewzeiss mwanzo ulikuwa na gari gani?
Prado fulani'hii gar n nzur yaan nikiiona naona kama prado fulan hv ambayo imemodolewa. afu ikiwa rangi ya kijivu au damiamzee yan daaah. ila kuna starlet fulan hv huwa znanivutia pia ukute ndo imepigwa urembo rembo aaah mbna utapenda!!
Prado fulani'
You are not serious kabisaa. Huo uchakaramu uuone kama prado asee, ebu kua serious kidogo.
Inanitesa Sana Kwenye rough road pia nilihisi pengine nikiweka sports tire labda itainuka kidogoHizi gari wamezikosea sana mbele kwa chini hata uweke spacer za inchi ngapi kama barabara ni rough road lazima itagusa bampa tu, sababu iliyonifanya niuze ingawa nilikuwa naipenda
Changamoto yake ndiyo hiyoo aiseeSipendagi bampa lake tu, limeshuka sana.
Nimeiona hiyo gari leo.Inanitesa Sana Kwenye rough road pia nilihisi pengine nikiweka sports tire labda itainuka kidogo
Nadhani nikifunga sports tire unaweza kunyanyuka tena kidogoNimeiona raum leo.
Hii gari utaanza kuichukia muda si mrefu.
Tatizo ni hayo mabampa kushuka chini sana.Nadhani nikifunga sports tire unaweza kunyanyuka tena kidogo
kwel gari kama iyo unatembea rough road.hako kadude kanataka ushureInanitesa Sana Kwenye rough road pia nilihisi pengine nikiweka sports tire labda itainuka kidogo
Nitajitahid kuitunza ili baadae niuze tuTatizo ni hayo mabampa kushuka chini sana.
Inakuwa kama voxy au noah zikichoka.
iyo gari ukiitunza safi ni kama ya kishure ukitia rim kali ni nzur tuNitajitahid kuitunza ili baadae niuze tu
rumion iko chn sana ndo mana kwny comment yangu hapo juu nkasema kuna starlet flan hv huwa naielewa sana mana ike iko juu kuliko rumionIPO chini Sana aisee nimejaribu kuweka spacers ya inchi moja lkn bado IPO chini Ila Kwa kifupi ni mpaka niweke rim sports na tairi za size 205
Prado fulani'
You are not serious kabisaa. Huo uchakaramu uuone kama prado asee, ebu kua serious kidogo.