britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Unakumbuka nini baada ya Kupata daraja la kwanza
Nakumbuka mwaka **** nikiwa kijijini nimemaliza Shule, matokeao bado yanaandikwa kwenye magazeti
Jina langu linaanza na Herufi za Mwishoni , kwenye alphabet,
Shule yetu tulikuwa wanafunzi 45, lakin daraja la kwanza alikuwa mmoja , wanaojua IQ yangu walizoea kuniita Mr Nelkon, wengine Encyclopedia Britannica,
Wakajua ndo nimekung'uta kijiti,
Bahati mbaya Gazeti lilichapishwa halikumalizia majina yenye herufi za kuanzia mwishoni, mfano T, Z , liliishia P,
Hiyo jina langu halikutokea 😁😁😁😁😁 lakin nikiangalia Summary inaonesha kuna mwenye kijiti, lakin kwenye Majina hay u po,
Nikajua ni Mimi Mnyamwezi
Nitaendelea baadae.......
Hivyo we unakumbuka mini
Tafadhali wenye daraja la Pili na Kuendelea hapawahusu hapa
Inatuhusu miamba ya ushindi Wa Kijiti,
Kiranga Kalamu1 Sky Eclat
Nakumbuka mwaka **** nikiwa kijijini nimemaliza Shule, matokeao bado yanaandikwa kwenye magazeti
Jina langu linaanza na Herufi za Mwishoni , kwenye alphabet,
Shule yetu tulikuwa wanafunzi 45, lakin daraja la kwanza alikuwa mmoja , wanaojua IQ yangu walizoea kuniita Mr Nelkon, wengine Encyclopedia Britannica,
Wakajua ndo nimekung'uta kijiti,
Bahati mbaya Gazeti lilichapishwa halikumalizia majina yenye herufi za kuanzia mwishoni, mfano T, Z , liliishia P,
Hiyo jina langu halikutokea 😁😁😁😁😁 lakin nikiangalia Summary inaonesha kuna mwenye kijiti, lakin kwenye Majina hay u po,
Nikajua ni Mimi Mnyamwezi
Nitaendelea baadae.......
Hivyo we unakumbuka mini
Tafadhali wenye daraja la Pili na Kuendelea hapawahusu hapa
Inatuhusu miamba ya ushindi Wa Kijiti,
Kiranga Kalamu1 Sky Eclat