kisokolokwinyo20
JF-Expert Member
- Apr 15, 2019
- 472
- 422
Niende kwenye topiki moja kwa moja, uzi huu ni maalumu kwa wanaume na wavulana wote tuliowahi kuachika ama kupigwa kibuti na mademu tuliokuwa tunatoka nao kimapenzi.
Mimi alinipiga kibuti kisa sikumtumia meseji wala kumpigia simu siku ya birthday yake.
Tuelezane wenzangu yalowakuta uliachwaje, kwa sababu zipi?
Mimi alinipiga kibuti kisa sikumtumia meseji wala kumpigia simu siku ya birthday yake.
Tuelezane wenzangu yalowakuta uliachwaje, kwa sababu zipi?