Uzi maalumu kwa mpendwa wetu Marehemu Steven Charles Kanumba

Dude was a paedo. That's not mentioned enough.
Sikupingi,lakini kwa tamaduni zetu naona kama vile hiyo term haipo.Mimi nimeishi sehemu kanda ya ziwa huko,watu wanaoa watoto kihalali,binti miaka 14 anaenda kuanza clinic ya uzazi na hakuna kesi popote...Kuna kipindi nikakutana na binti ana miaka 17 alafu huyu ni mke mkubwa,wapo wawili.
 
Sikupingi,lakini kwa tamaduni zetu naona kama vile hiyo term haipo.Mimi nimeishi sehemu kanda ya ziwa huko,watu wanaoa watoto kihalali,binti miaka 14 anaenda kuanza clinic ya uzazi na hakuna kesi popote...Kuna kipindi nikakutana na binti ana miaka 17 alafu huyu ni mke mkubwa,wapo wawili.

Nakuelewa mkuu. Shida ni kuwa jamaa alimlea huyo binti kwa miaka kibao, kumbe anakula bana.
 
Sikupingi,lakini kwa tamaduni zetu naona kama vile hiyo term haipo.Mimi nimeishi sehemu kanda ya ziwa huko,watu wanaoa watoto kihalali,binti miaka 14 anaenda kuanza clinic ya uzazi na hakuna kesi popote...Kuna kipindi nikakutana na binti ana miaka 17 alafu huyu ni mke mkubwa,wapo wawili.


That doesn't change the truth that Kanumba was a Paedo. Alikiharibu kitoto cha watu kwa muda mrefu bila watu kujua.

Tukirudi kwenye hizo tamaduni zetu kama unavyoziita, hiyo pia sio haki kwa watoto wa kike. Child marriages hazikubaliki. Mara nyingi hawa watoto wanaolewa au wanazalishwa kinyume na matakwa yao. They don't have a choice. They don't have a voice. They don't have life. Hakuna mtu wa kuwasemea. Maisha yao yamefunikwa na uonevu kwa kisingizio cha tamaduni zetu. Wanatia huruma sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom