Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,012
- 23,613
Dude was a paedo. That's not mentioned enough.
Dude was a paedo. That's not mentioned enough.
Yes, he was indeed paedofile, lakini ukiwaambia watanzania hawatakuelewa.
Amen.. alikuwa kijana anaejituma sana kwenye sanaa ya filamuDoh! Sikuwai kufikiria kuwa ana filamu Zaid ya arobaini kazi aliifanya apumzike
Sikupingi,lakini kwa tamaduni zetu naona kama vile hiyo term haipo.Mimi nimeishi sehemu kanda ya ziwa huko,watu wanaoa watoto kihalali,binti miaka 14 anaenda kuanza clinic ya uzazi na hakuna kesi popote...Kuna kipindi nikakutana na binti ana miaka 17 alafu huyu ni mke mkubwa,wapo wawili.Dude was a paedo. That's not mentioned enough.
Sikupingi,lakini kwa tamaduni zetu naona kama vile hiyo term haipo.Mimi nimeishi sehemu kanda ya ziwa huko,watu wanaoa watoto kihalali,binti miaka 14 anaenda kuanza clinic ya uzazi na hakuna kesi popote...Kuna kipindi nikakutana na binti ana miaka 17 alafu huyu ni mke mkubwa,wapo wawili.
Sikupingi,lakini kwa tamaduni zetu naona kama vile hiyo term haipo.Mimi nimeishi sehemu kanda ya ziwa huko,watu wanaoa watoto kihalali,binti miaka 14 anaenda kuanza clinic ya uzazi na hakuna kesi popote...Kuna kipindi nikakutana na binti ana miaka 17 alafu huyu ni mke mkubwa,wapo wawili.
Kaole walikuwa mwisho wa maneno!Japo bongo movie sizipendi Ila way back mida ya saa tatu usiku familia yote hatukosi igizo la kaole!
Angekuwa nchi wanayoelewa uzito wa hii kitu, wengi wangemchukia sana na wasingemuenzi kama watz wanavyomuenzi.Dude was a paedo. That's not mentioned enough.
Hilo ndilo kisa lilimcost maisha yakeWatanzania hatuelewi kitu, mkuu.