mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 10,518
- 19,883
huyo alicheza msimu mmoja,,akaachwa hakuwa mtanzania,,nadhani alikuwa mrundi,,hyo simba ya akina mackenzi ramadhani golini,,Kuna mchezaji alikuwa anaitwa Damian Kimti, nadhani alichezea simba. Huyu hadi kuna viatu viliandikwa Kimti. Kwa wanaofahamu zaidi kumuhusu please mwageni taarifa.