Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,605
- 2,743
First of all poleni kwa wote mlio pitia tabu hii ya kufamania wenzi wenu. Maisha itabidi yaendelee, natumani mnaendelea vizuri.
Mara nyingi haachwi mtu salama, Mwanaume/Mwanamke lazima afanye tukio kutokana na jazba atakayo kua nayo pale atakapo mfumaniwa mwenza wake na mtu mwingine.
Stori zipo nyingi kitaa, za binafsi, jamaa zetu au jamii inayoutuzunguka. Kwa mlio nazo tunaombeni share zenu ili tuweze kujisomea.
STORY IFUATAYO NI KUTOKA KWA MWANA JF MWENZETU.
Too Gentle Maoni yangu kama Mwanaume katika miezi 17 ndani ya ndoa
"Ni hivi, mm ni daktari, mwanamke niliyekua naishi nae ni mkulima. Kwahyo kuna msimu wa kiangazi anakua idle sana maana haendi shambani.. inaweza tokea hata miezi saba yupo nyumbani kama housewife.
Kutokana na hiyo hali na mazingira ya pale nyumbani nikawa naona anakua bored sana na kujichanganya mda mwingi na mashosti yani umbea umbea, nikaona isiwe kesi nikamfungulia biashara.
Nilitafta frame mitaa ya soko kuu. Nikamfungulia duka-genge (nadhani nimeeleweka) yani niliweka mahitaji ya dukani pamoja na gengeni ktk kiofisi kimoja. Ikawa asubuhi napoenda kazini namdrop pale gengeni, jioni nikitoka mapema narudi home kupumzika ikifika mda wa kufunga ananishtua naenda kumfata na kausafiri kangu. Hiyo ndio ikawa ratiba.
Sikatai, yule dada mcheshi sana na ana msambwanda wa kufa mtu. Kama biashara zilivyo akaanza kua na mazoea na masela wa pale sokoni, sikua na wasiwasi kwavile nilijua ni mambo ya business ukiwa kauzu sana wateja ni ngumu kukuzoea.
Kuna mwamba nilikua namkuta mara kadhaa mida ya jioni anasimama pale dukani kuhudumiwa analeta leta viutani vya kijinga jinga kwa wife, wife nae anajichekesha chekesha kifala fala tu. Msela ana ofisi yake ya kukopesha ela mtaa wa jirani ila aliweka sana mazoea na wife.
Ghafla mtaji ulivyokua nikaona wife dharau nyingi analeta, mara nikitaka kumpitia jioni analeta sababu nisimfate atafika chap na boda na visingizio vya kifala fala.
To make the topic short, pale kitaa wahuni wengi ni machizi wangu wakanitonya mchizi wa mikopo anamega wife wakanichorea ramani fresh na hivi juzi jmosi tukawanasa red-handed lodge, nikafukua mtaro wa jamaa na wife nikamuachia. Naskia mwanamke amerudi kwao na kwangu anaogopa kurudi kamtuma rafiki yake afate nguo...
Sorry kwa unandishi mbovu nilikua night jana usingizi mwingi sana sikulala kabisa"
Mara nyingi haachwi mtu salama, Mwanaume/Mwanamke lazima afanye tukio kutokana na jazba atakayo kua nayo pale atakapo mfumaniwa mwenza wake na mtu mwingine.
Stori zipo nyingi kitaa, za binafsi, jamaa zetu au jamii inayoutuzunguka. Kwa mlio nazo tunaombeni share zenu ili tuweze kujisomea.
STORY IFUATAYO NI KUTOKA KWA MWANA JF MWENZETU.
Too Gentle Maoni yangu kama Mwanaume katika miezi 17 ndani ya ndoa
"Ni hivi, mm ni daktari, mwanamke niliyekua naishi nae ni mkulima. Kwahyo kuna msimu wa kiangazi anakua idle sana maana haendi shambani.. inaweza tokea hata miezi saba yupo nyumbani kama housewife.
Kutokana na hiyo hali na mazingira ya pale nyumbani nikawa naona anakua bored sana na kujichanganya mda mwingi na mashosti yani umbea umbea, nikaona isiwe kesi nikamfungulia biashara.
Nilitafta frame mitaa ya soko kuu. Nikamfungulia duka-genge (nadhani nimeeleweka) yani niliweka mahitaji ya dukani pamoja na gengeni ktk kiofisi kimoja. Ikawa asubuhi napoenda kazini namdrop pale gengeni, jioni nikitoka mapema narudi home kupumzika ikifika mda wa kufunga ananishtua naenda kumfata na kausafiri kangu. Hiyo ndio ikawa ratiba.
Sikatai, yule dada mcheshi sana na ana msambwanda wa kufa mtu. Kama biashara zilivyo akaanza kua na mazoea na masela wa pale sokoni, sikua na wasiwasi kwavile nilijua ni mambo ya business ukiwa kauzu sana wateja ni ngumu kukuzoea.
Kuna mwamba nilikua namkuta mara kadhaa mida ya jioni anasimama pale dukani kuhudumiwa analeta leta viutani vya kijinga jinga kwa wife, wife nae anajichekesha chekesha kifala fala tu. Msela ana ofisi yake ya kukopesha ela mtaa wa jirani ila aliweka sana mazoea na wife.
Ghafla mtaji ulivyokua nikaona wife dharau nyingi analeta, mara nikitaka kumpitia jioni analeta sababu nisimfate atafika chap na boda na visingizio vya kifala fala.
To make the topic short, pale kitaa wahuni wengi ni machizi wangu wakanitonya mchizi wa mikopo anamega wife wakanichorea ramani fresh na hivi juzi jmosi tukawanasa red-handed lodge, nikafukua mtaro wa jamaa na wife nikamuachia. Naskia mwanamke amerudi kwao na kwangu anaogopa kurudi kamtuma rafiki yake afate nguo...
Sorry kwa unandishi mbovu nilikua night jana usingizi mwingi sana sikulala kabisa"