Uzi maalum wa Maisha ya ndege JOHN

Nashukuru mwenyeziMungu.naandika mengine pia katika journaling manually baada ya ushauri wa member fulani.mimi naamini sifanyi hivi kwa ajili ya kumfanya fulani afurahi.nataka nionyeshe knowledge inatakiwa isambazwe sio ifichwe.mimi mwenyewe nafanya chochote kizuri ambacho kitanipa faraja
Naam
 
Naweka maji Lita mbili na nusu katia jug Kisha nakunywa mdogomdogo
Time 15:40-15:50
1557924381516.jpeg
 
Saa 15:54
Natengeneza juice ya mchanganyiko wa ginger na garlic..baada ya kusaga nitapata dawa ambayo huwa nakunywa Mara kwa Mara Ni nzuri kwa afya.sote tunajua Faida za vitunguu swaumu na tangawizi katika kutibu bacterial infection na kuimarisha kinga
1557924541006.jpeg
kitunguu swaumu vya 500,tangawizi ya 500
IMG_20190515_155345.jpeg
 
Huu Ni uzi wangu maalumu kwa ajili yangu kupost kila jambo nitakalokuwa nalifanya katika dunia ili kuweka kumbukumbu ya safari ya maisha yangu na jinsi ninavyopokea maelekezo kutoka kwa mwenyeziMungu.chochote nitakachokuwa nakifanya nitakiandika hapa na ikiwezekana nitaweka picha ya tukio,kitu au sehemu nilipo.Ni idea ambayo itaniwezesha sana Mimi kuyatumia maisha yangu vizuri.kama Kuna swali ambalo utapenda kuniuliza nitalijibu kama nitaona inafaa ila kama sitalijibu Basi ujue nimeona halifai.kwa hiyo kifupi lifestyles yangu yote nitakuwa Niki share katika Uzi wangu.
Kwa Mara nyingine nitumie Uzi huu huu kujitambulisha Zaidi kwa kuweka baadhi ya picha zangu lakini nitazi crop View attachment 1095219View attachment 1095220
Kumbe ni wewe nimeshakufahamu.
 
Huu Ni uzi wangu maalumu kwa ajili yangu kupost kila jambo nitakalokuwa nalifanya katika dunia ili kuweka kumbukumbu ya safari ya maisha yangu na jinsi ninavyopokea maelekezo kutoka kwa mwenyeziMungu.chochote nitakachokuwa nakifanya nitakiandika hapa na ikiwezekana nitaweka picha ya tukio,kitu au sehemu nilipo.Ni idea ambayo itaniwezesha sana Mimi kuyatumia maisha yangu vizuri.kama Kuna swali ambalo utapenda kuniuliza nitalijibu kama nitaona inafaa ila kama sitalijibu Basi ujue nimeona halifai.kwa hiyo kifupi lifestyles yangu yote nitakuwa Niki share katika Uzi wangu.
Kwa Mara nyingine nitumie Uzi huu huu kujitambulisha Zaidi kwa kuweka baadhi ya picha zangu lakini nitazi crop View attachment 1095219View attachment 1095220
Kumbe ni wewe nimeshakufahamu.
 
IMG_20190515_160028.jpeg
tuna blender mchanganyiko wetu
IMG_20190515_161151.jpeg
Kisha tunachuja Yale maji
IMG_20190515_162220.jpeg
mchanganyiko Hui unaweza kuchanganya na vijiko viwili vya asali.tunatumia angalau Lita moja na nusu kwa siku mbili kila week.hii Ni kwa ajili ya kuondoa sumu mwilini
Ambia hivi,Mimi napenda vitu vizuri vipewe nafasi Kuliko vitu vibaya.nataka knowledge nzuri inapokufikia usiishie kusoma Ni muhimu Zaidi kui practice.sisi tunahamasisha watu kuzingatia Sana kwenye ulaji tunaamini kabisa mwanadamu anaweza kuishi bila dawa za hospital.
 
Mimi napenda watu waishi bila dawa au sindano.yaani tuboreshe Yale mapungufu so chenye me nataka tujue tunakula Nini na kiasi gani.haitakiwi usifuatilie afya yako..inatakiwa tuondoe sukari na mafuta katika vyakula hasa kwa wanaokaa sehemubza joto
Tunachotakiwa kuongeza mazoezi
Screenshot_20190515-170915.jpeg
Screenshot_20190515-170946.jpeg
Screenshot_20190515-171236.jpeg
 
Saa 12 kasoro tumeanza mazoezi yetu.ni ndani ya ibada tunachotafuta Ni kutoka jasho.kutoka jasho Ni sehemu ya ibada yetu
IMG_20190515_180128.jpeg
IMG_20190515_180147.jpeg
 
Tume:18:12
Location:tabata
Baada ya kumaliza ibada na kutoka jasho na kupata faraja.tunagawa kitu fulani chenye maajabu sana kwa mtu wa MUNGU..kitu hicho kinatengenezwa kwa process fupi yenye kutumia Moto..mtu huyo tumempa kwa sababu ameonyesha Nia ya kutaka kununua bure.tumefanya hivyo ili tukamsaidie,tumefanya hivyo mbele ya mke wake..alionyesha uwezo wake japokuwa Ni beginner lakini alifanya Kama senior tumemtaka ajitahidi ndani ya siku kadhaa awe mwalimu.baada ya hapo tukaondoka outdoor ground
 
Saa 12 na robo jioni
LECTURES WANAFUNDISHA KWA KUTOA MANENO MDOMONI AMBAYO YANAKUWA NI KAMA DHAHABU NA ALMASI KWANI YANABADILISHA MAISHA YA WENGI.SO MTU WA MUNGU ANATAKIWA AONGEE MANENO MAZURI DUNIA MZIMA ITAMFUTA YEYE IKAMSIKIE..





MBINGUNI NI HAPAHAPA DUNIANI..UNAWEZA KWENDA MBINGUNI BILA HELA..
MFANO FUNDI MMOJA KAPELEKEWA GARI AKAGONGA GONGA NA NYUNDO SEHEMU KISHA MWENYE GARI AKAAMBIWA ATOE DOLLAR 10..AKASHANGAA AKAMWAMBIA FUND KWANINI UNANICHAJI BEI KUBWA WAKATI HATA KIFAA HATUJABADILISHA..FUNDI AKAMJIBU "KUGONGA GONGA GARI NI DOLLAR MOJA LAKINI DOLLAR TISA NI KWA AJILI YA KICHWA MAANA CHENYEWE NDIO KIMEJUA KIGONGE WAPI NA WAPI KISIGONGE ISINGEKUWA HIVYO TUNGEGONGA KWENYE KIOO.
NIKAONDOKA NA WATU WATATU TUKAELEKEA SEHEMU NYINGINE
 
Time 19:20 jioni
Location:ndani ya ofisi yangu
Nimeingia ofisini Mara moja huku nikipata juice yangu nikaendelea kusoma threads za education mentor..Kisha nafanya kazi fulani ambayo itaniingizia pesa.
 
-nakula mapema angalau kabla ya 19:30 usiku
-nakula greens kwa wingi
-nakula kidogo
IMG_20190515_192859.jpeg
 
Ikiwa bado ni saa moja Natoka ofisini na kuahirisha kazi niliyokuwa nafanya Kisha naenda kununua mzigo fulani ambapo naporudi nakutana na BIBI ambaye tumekutana katika ibada yangu lakini yeye alienda workouts ya lisaa limoja na nusu kwa mguu.bibi huyu ame retire miaka 12 iliyopita kwa Sasa ana 72..anavutiwa Sana na maelezo yangu kuhusu ule mzigo nilioubeba..tunaongea akwa KIREFU mpaka muda ambao mwanamke wangu anapita akitoka kazini..anapita anasalimia kwa juu juu.nayakumbuka maneno ya Bibi Yule..Ni mdau wa afya anapenda kutunza afya yake
-hatumii soda
-amepewa lift ameikataa kwa Kuwa objective yake ilikuwa kutembea
-amenipa stori flani kamili ya mtu wa MUNGU ambayo sio tu imeniongezea details Bali imenifanya nizidi kumpa credit Yule bwana.
 
Narudi ofisini nikiwa na maziwa mgando ambayo nakunywa polepole huku nikifanya kazi yangu ofisini
IMG_20190515_200449.jpeg

Time:20:15 pm
 
Back
Top Bottom