Uzi maalum wa kutupia Picha zetu za utotoni

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,730
155,414
Utoto ni kipindi ambacho ni kitamu zaidi maishani,ni stress free, yaani kila kitu safi kabisa.
Nimeamua kuweka Uzi huu ili kukienzi kipindi hicho adhimu.
Hapa jukwaani kuna wengi ambao wanauenzi utoto wao kwa kutumia avatar za walipokuwa watoto, miongoni mwao ni kamanda mkuu wa makamanda wapole Sir Mwifwa.
Hapa chini ni Picha zangu, moja imepigwa mwaka 1962, na nyingine mwaka 1966.
1917498_101161189909470_6942362_n.jpg
52961283_3066753830016843_4701026874397032448_n.jpg
 
Utoto ni kipindi ambacho ni kitamu zaidi maishani,ni stress free, yaani kila kitu safi kabisa.
Nimeamua kuweka Uzi huu ili kukienzi kipindi hicho adhimu.
Hapa jukwaani kuna wengi ambao wanauenzi utoto wao kwa kutumia avatar za walipokuwa watoto, miongoni mwao ni kamanda mkuu wa makamanda wapole Sir Mwifwa.
Hapa chini ni Picha zangu, moja imepigwa mwaka 1962, na nyingine mwaka 1966.
Wewe kumbe unamkaribia jiwe kwa umri aisee.

Picha za utotoni huwaga ni mahandsome sana, ulitokelezea sana ile ya 1966
 
Nyuzi za picha picha zimekuwa fashion siku hizi ??? Mara sijui selfika mara sijui upumbavu gani
 
Enzi zenu wanafunzi wa Loleza mlimbaka muuza karanga mpaka akafa
 
Utoto haujawahi kuwa rahisi, hapa nilikuwa na escape ili nisinywe uji na kuvalishwa nepi
tapatalk_1567759664953.jpeg
 
  • Thanks
Reactions: Ctr

Similar Discussions

Back
Top Bottom