donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,040
- 21,513
- Thread starter
- #21
Yajayo yanafurahishaMambo gani haya kuweka picha yangu hapa.
hukufundisha kuwa na adabu kwenu?
Yajayo yanafurahishaMambo gani haya kuweka picha yangu hapa.
hukufundisha kuwa na adabu kwenu?
Not to zati eksitenti.Yajayo yanafurahisha
Wow...Amen Amen babyTuombe Mungu atupatie mapacha baby
WE NYOKOOO
Yote yale sio macho yao ni viini vya macho wanaweka jichoni vipo vya kila aina kuna vya kama macho ya paka,ya blue,ya green...umenipata kidogo mzee?naomba kujua kuna picha moja ya mtoto jicho la kulia silielewi wataalam hiyo ikoje?
sijakubaliana na wewe tizama hizi pichs zimepigwa nyakati tofautiYote yale sio macho yao ni viini vya macho wanaweka jichoni vipo vya kila aina kuna vya kama macho ya paka,ya blue,ya green...umenipata kidogo mzee?
Either jicho moja hivo viini macho kilikaa vibaya au kimetoka,anyway tuachane nayo maana hayana faida kwetu'View attachment 723359
sijakubaliana na wewe tizama hizi pichs zimepigwa nyakati tofauti
na jicho ka mmoja limetokea kama lilivyoView attachment 723353
Mama unapanga? Ila mbele ya tunguli hakuna kinachoshindikana asee
Hahahahaaaaaa
Huu urembo wa ovyo kuwah kugunduliwaYote yale sio macho yao ni viini vya macho wanaweka jichoni vipo vya kila aina kuna vya kama macho ya paka,ya blue,ya green...umenipata kidogo mzee?
Hivi hakuna waswahili pachaHizi ni baadhi ya set of twins, tupia zako. View attachment 721877View attachment 721878View attachment 721879View attachment 721880View attachment 721881View attachment 721882View attachment 721883View attachment 721884View attachment 721885View attachment 721886View attachment 721887View attachment 721888View attachment 721889
Wapo wa kuventeHivi hakuna waswahili pacha
Sasa tutaijuwaje hiyo picha?naomba kujua kuna picha moja ya mtoto jicho la kulia silielewi wataalam hiyo ikoje?
hujaiona pale juuSasa tutaijuwaje hiyo picha?