Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 8,851
- 15,265
Vigezo vyote ninavyo, shida nina watoto wanne kama upo tayari karibuKwa mdada aliye serious miaka 22 - 32 , dini awe mkistro asiwe na mtoto
Kuhusu mimi jinsia : ME, umri miaka: 30, urefu :ft 6+, rangi:Mweusi, kazi :mtumishi wa umma , makazi: mbeya town
Haiba yangu ni mimi ni mpole, sio mtu wa kujichanganya kisana, nina marafiki wachache na pia sio muongeaji sana
Mdada aliye interested karibu DM..