antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 44,626
- 120,112
Kulingana na jarida la Wikipedia sekta ya dawa huko Asia na kampuni za vipodozi ndio wanunuzi wakuu wa wadudu.
Duh...MLIMBWENDE AMBAYE CHAKULA CHAKE NI MENDE
SawasawaNchini Tanzania, kuna jamii ambazo kula wadudu kama senene, panzi na kumbikumbi ni jambo la kawaida, lakini ukiuliza juu ya mende kuwa chakula ni jambo la kustaajabisha.
Safiii sana..