Alitaja hofu kuhusu virusi hivyo kuwa "ujinga" katika Twitter, na kuelezea amri ya kukaa nyumbani kama "kifungo cha lazima", akisema ''haifai'' na kwamba inakiuka haki ya kikatiba.
Alitaja hofu kuhusu virusi hivyo kuwa "ujinga" katika Twitter, na kuelezea amri ya kukaa nyumbani kama "kifungo cha lazima", akisema ''haifai'' na kwamba inakiuka haki ya kikatiba.
Shirika la habari la South Africa walikuwa na mjadala kuhusu Mama Samia kumteua Tony Blair kuwa mshauri wake. Hoja ya wachambuzi haikuwa kwa nini Tony Blair Bali ilikuwa credibility ya Tony Blair. Wanasema Tony Blair hana credibility, hivyo kumteua kuwa mshauri ni kosa na wanashangaa imekuwaje...
Wanabodi, ninajua wengi tunashangaa sana imekuwaje mfanyabiashara na mwanasiasa Freeman Mbowe kufunguliwa kesi ya ugaidi na uhujumu uchumi. Ukweli ni kwamba, mwaka 2017 baada ya jaribio la kumuua Lissu kushindikana, target ya pili alikuwa ni Mbowe baada ya TISS kumshauri Magufuli, "mwengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.