Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

Tupate kujua vichwa vya habari magazeti ya leo
FB_IMG_1631692726264.jpg
 
Tumefika salama nyumbani Nigeria, wachezaji wetu 4 na viongozi 3 waliodaiwa kuwa na maambukizi ya corona wako salama.
Wamepinwa tena hapa wameonekana ni wazima wa afya.
Tunadhani zilikuwa njama za wapinzani wetu.

Tunasubiri ratiba ya wageni wetu Yanga,
Walivyotupokea ndivyo Tutakavyowapokea.

Msemaji Rivers united Charles Muyuku
FB_IMG_1631693278933.jpg
 
Back
Top Bottom