Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

"Kama unataka kwenda Abyssinia, utakutana na mfalme ambaye hawezi kuvumilia uminywaji wa haki ,"Mtume Muhammed aliwaamibia wafuasi wake wakati alipokutana na unyanyasaji kwa mara ya kwanza karne ya saba huko Mecca, ambayo ni Saudi Arabia.
 
Akichukua ushauri wake, kundi dogo la ufalme wa Aksum, ambao wakati huo uliangazia zaidi Ethiopia na Eritrea ya sasa, ambako walikaribishwa vizuri kufanya shughuli zao za dini na mfalme wa kikristo wa Armah - jina lake la kifalme ni Ge'ez wa Negus, au Negashi Uarabuni
 
Asubuhi njema
FB_IMG_1631692752463.jpg
 
Back
Top Bottom