"Kama unataka kwenda Abyssinia, utakutana na mfalme ambaye hawezi kuvumilia uminywaji wa haki ,"Mtume Muhammed aliwaamibia wafuasi wake wakati alipokutana na unyanyasaji kwa mara ya kwanza karne ya saba huko Mecca, ambayo ni Saudi Arabia.
Akichukua ushauri wake, kundi dogo la ufalme wa Aksum, ambao wakati huo uliangazia zaidi Ethiopia na Eritrea ya sasa, ambako walikaribishwa vizuri kufanya shughuli zao za dini na mfalme wa kikristo wa Armah - jina lake la kifalme ni Ge'ez wa Negus, au Negashi Uarabuni
Rais Samia awe makini kukwepa kusema uongo mbele ya umma Rais Magufuli alipenda propaganda ndio maana watu werevu walimchoka mapema kwa propaganda Alichukua pesa za michango ya rambirambi Bukoba na kwenda kufanyia mambo mengine kabisa. Mara tunajenga kwa pesa zetu Sasa na Samia ameanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.