Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

E660DC2A-B338-4BBC-A899-FD6C8F888DA9.jpeg
 
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 awali aliamini kwamba alikuwa na makubaliano ya kiungwana na mwenyekiti wa klabu hiyo Daniel Levy kuondoka Spurs msimu huu wakati Manchester City ilipojaribu kumsaini. (Eurosport)
 
Tottenham na Atletico Madrid wote waliwasilisha ombi la dau la yuro milioni 90 kumsajili mshambuliaji wa Argentina Lautaro Martinez ambalo lilikataliwa na klabu ya Inter Milan msimu huu , huku Arsenal pia ikakataliwa baada ya kutoa ofa ya chini.. (Gazzetta dello Sport - in Italian)
 
Kiungo wa kati wa Uholanzi Georginio Wijnaldum, 30, amesema kwamba alitaka kusalia katika klabu ya Liverpool , lakini akaondoka katika uhamisho wa bila malipo kuelekea PSG baada ya kuhisi kwamba ahitajiki na The Reds. (L'Equipe - in French)
 
Arsenal haijafutilia mbali matumaini ya kumsajili kiungo wa kati wa Lyon na Ufaransa Houssem Aouar na itamlenga mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 msimu ujao , ijapokuwa The Gunners watataabika kumleta London hadi pale watakapofuzu kwa kombe la klabu bingwa Ulaya.. (Todofichajes - in Spanish)
 
Tottenham inatarajiwa kuwa miongoni mwa klabu zitakazomsajili kiungo wa kati wa klabu ya Calgiari Nahitan Nandez , ambaye pia alikuwa akisakwa na Inter Milan, Napoli, Roma na Fiorentina, wakati dirisha la uhamisho litakapofunguliwa mwezi Januari. Klabu hiyo ya Serie A ipo tayari kumuuza mchezaji huyo mwaka mpya.. (Tuttomercatoweb - in Italian)
 
Back
Top Bottom