Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 178,103
- 1,076,899
He had a good heart
Nilifika kwa mara ya kwanza stand hiyo nikiwa kondakta mwaka 1998 baada ya elnino,nimehudumu hapo kwa miaka 4 na rafiki yangu mchezaji wa zamani Kaitaba.
Kuna vifo vingine mwanadamu anasimangwa kimakosa sana,yaani mtu anafia juu ya kiuno cha huyu mrembo, watu from no wea wanaanza mikelele miiingi... "oo mtu mzima tena mzee wa kisukari hajiheshimu, ameparamia pasipo paramika matokeo yake kakata moto..."
SawaDear HR Managers Please stop inviting people to interview when you already have someone in mind. To travel it costs money, water and electricity, clean clothes, sleepless nights, preparations and emotional expectations.
Pls Stop.