M Z A N Z I B A R I
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 21,684
- 117,034
Nilishiriki katika uzinduzi wa kampeni za Urais wa Zanzibar. Zilifana sana. Niliamini kuwa Maalim Seif atashinda Uchaguzi huo na kuwa Rais wa Zanzibar.
Nilihutubia mkutano huo na kuwaeleza Wazanzibari kuwa Mzigo mzito hupewa Mnyamwezi. Niliwaambia kuwa Urais ulikuwa ni mzigo mzito na mwenye kuweza kuumudu ni Mnyamwezi huyu aliyekuwa mbele yao. Mkutano wote ulianguka kicheko.
Kama alivyonieleza Maalim Seif, CUF ilikuwa kweli haijajiandaa kuweka Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hatukuwa na magari wala nyezo nyingine za kampeni.
Senti kidogo niliyokuwa nayo – kiasi cha dola za Marekani elfu sita - nilizitumia kwenye shughuli za kampeni za awali.
Nilihutubia mkutano huo na kuwaeleza Wazanzibari kuwa Mzigo mzito hupewa Mnyamwezi. Niliwaambia kuwa Urais ulikuwa ni mzigo mzito na mwenye kuweza kuumudu ni Mnyamwezi huyu aliyekuwa mbele yao. Mkutano wote ulianguka kicheko.
Kama alivyonieleza Maalim Seif, CUF ilikuwa kweli haijajiandaa kuweka Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hatukuwa na magari wala nyezo nyingine za kampeni.
Senti kidogo niliyokuwa nayo – kiasi cha dola za Marekani elfu sita - nilizitumia kwenye shughuli za kampeni za awali.