Ni samaki anaeishi kwenye kina cha chini sana ya maji ndiomana ni hadimu sana kupatikana kwenye mazingira ya kawaida pia mkunga utembea zaidi usiku na mchana ukaazaidi kwenye mapango au maficho.
12. Pono: samaki wa baharini mwenye umbo la mviringo na rangi ya buluu, kijivu au kijani na apendaye kuishi kwenye mwani na husemekana kuwa hupenda sana kulala.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.