Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 178,173
- 1,077,253
Mambo ya mtandaoni haya ni shida...
Ubaguzi...Si ajabu atasema Trump ndiyo sababu
View attachment 1530451
Huyu jamaa alizikataa ofa kibao za kusakata soka nje zilizokuja kupitia Simba, kwa madai eti atachezea Yanga maana ana mapenzi ya dhati na timu hiyo.Ndiyo ishatoka hiyo. Nilikuwa nawaona akina marehemu Edward Chumila na wenzake wanacheza mchangani jioni katika uwanja wa Bulyaga pale hata pesa hawana wapo wapo tu yaani. Bila akili na kutumia pesa vyema hawa jamaa wengi wao mwisho huwa siyo mzuri...
Kisa cha kupata Sonoma!!?Si ajabu atasema Trump ndiyo sababu
View attachment 1530451
Kamanda umeajiri wazungu wakuvunie pamba huko Kwimba!!!?MLK is happy
View attachment 1530456
Kweli kabisa ndugu yangu George Masatu Asante kwa kufuata Ushauri wangu Unaishi Kama paradisoNdiyo ishatoka hiyo. Nilikuwa nawaona akina marehemu Edward Chumila na wenzake wanacheza mchangani jioni katika uwanja wa Bulyaga pale hata pesa hawana wapo wapo tu yaani. Bila akili na kutumia pesa vyema hawa jamaa wengi wao mwisho huwa siyo mzuri...
Aisee hii ya hatari sanaA man tried to rob a woman who was standing alone outside of her apartment in Rio de Janeiro. The young woman turned out to be MMA fighter Polyana Viana, who proceeded to punch and kick the man and subdue him until the police arrived.
View attachment 1530389
Ilikuwaje!!?Kweli kabisa ndugu yangu George Masatu Asante kwa kufuata Ushauri wangu Unaishi Kama paradiso
La sivyo yangekukuta ya kukukuta