LEO TUNAKUPA WA NAFASI NZURI YA KUWAJUA WANYAMA 10 WANAO KAA NA MIMBA MUDA MREFU ZAIDI KULIKO WENGINEkionjo. ..Je! unajua kuwa binadam ndio kiumbe pekee anaye weza kulala kwa kutumia mgongo kwa muda mrefu na kupata usingizi kuliko mnyama mwingine yeyote!
10.Pundamilia (Zebra)Katika orodha ya wanyama wanao kaa namimba kwa mda mrefu zaidi ,Pundamilia yupo nafasi ya 10.Anakaa na mimba kwa muda wa miezi 10 hadi 12 kulingana na specie ya mnyama huyu
8.Punda (Donkey)Punda ni mnyama wa kawaida ambaye huweza kuishi na binadamu kama msaidizi wa kubeba mizigo.Mnyama huyu yeye yupo nafasi ya 8 katika orodha anakaa na mimba miezi 11 hadi 15 kutegemena na aina.
7.Twiga (Giraffes)Twiga ndio mnyama mrefu kuliko wote duniani yeye huzaa akiwa amesimama na baada ya saa moja tu mtoto huanza kutembeaMnyama huyu anakaa na mimba miezi 13 hadi 15 kuja kuzaa.
6.Ngamia(Camel)Huyu ni mnyama maarufu apatikanaye jangwani,mnyama huyu ana nundu inayo msaidia katika kukabiliana na hali ya ukame jangwaniPia chakula kinacho yeyushwa katika mwili wwke ni aina ya fati ili kuweza kuzalisha maji zaidi ndani yakeHuyu hukaa na mimba miaezi 13 hadi 15 kutegemena na aina na mazingira anayoishi.
2.Pomboo (Dolphin)Huyu ni mnyama aishiye majini na inasemekana ni moja ya wanyama wenye akili na uwezo mkubwa sana wa kujifunza vitu kwa wepesi.Yeye hukaa na mimba miezi 15hadi hadi 18 .
1.Tembo (Elephant)Huyu ni mnyama makini mwenye tabia kama za mwalimu kutopenda kelele.Huyu ni mnyama mkubwa sana katika dunia.Tembo hukaa na iujauzito muda Miezi 22 Ndo anajifungua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.