Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 268,037
- 1,094,414
Man City imekuwa na shida kubwa kwenye beki yake ikishindwa kupata mtu wa kuziba pengo la Vincent Kompany aliyeondoka mwishoni mwa msimu uliopita na kisha wakapata majeruhi wa muda mrefu kwa beki wao Aymeric Laporte, jambo linalomfanya Guardiola akiri kwamba ni tatizo kubwa kwenye timu yake.