Hawachi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 12,012
- 54,174
Kunywa yai bichi yataka moyo mgumu nilijaribu siku moja nilitapika mno.Kwa wale wanywaji, mayai mabichi ni kiungo kizuri kuondoa hangover.
Kunywa yai bichi yataka moyo mgumu nilijaribu siku moja nilitapika mno.Kwa wale wanywaji, mayai mabichi ni kiungo kizuri kuondoa hangover.
Ndio KingBeauty with mind. Sio?
Kati ya vitu siwezi ni kunywa yai bichi au kunywa mafuta ya kupikiaKunywa yai bichi yataka moyo mgumu nilijaribu siku moja nilitapika mno.
Endelea kuorodhesha....Kati ya vitu siwezi ni kunywa yai bichi au kunywa mafuta ya kupikia
Sawa Alicia, hujambo lakini muhenga?Ndio King
uji wa usiku nao haupiti mdomonEndelea kuorodhesha....
. Orodha isingekamilika bana...uji wa usiku nao haupiti mdomon