Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 46,710
- 186,328
Atakatuma mwakilishi me naogopa kukatuma πKa nani?tupia tukaone
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakatuma mwakilishi me naogopa kukatuma πKa nani?tupia tukaone
Wala ππUnataka kuchomoa betri ama? Kama ni kapicha ka msambwanda please katupie tuoshe macho
ile 35 ni umri au size ya kiatu?Team wahenga tupo vizuriView attachment 1204380
Tupia bana mbona mie nimetupiaAtakatuma mwakilishi me naogopa kukatuma π
Hahahahaha umri banaile 35 ni umri au size ya kiatu?
πππππββοΈπββοΈπββοΈ
Ukiona anasuasua ujue inaweza kutupofua macho.Tupia bana mbona mie nimetupiaView attachment 1204385
Kabisa ππUkiona anasuasua ujue inaweza kutupofua macho.
Hamna umri wako hapo.Hahahahaha umri bana
#ntawaoneajebentenwahumu
#nawotetusemeshikamoonumby
Hazardous Waste Material Removal crew...Tupia bana mbona mie nimetupiaView attachment 1204385
Jamani ππHaya sasa. Picha ya Depal ishafika kwa mtunza kumbukumbu wa uzi. Wala siyo picha ya kutisha. Ni picha ya baharia tu ambaye, baada ya vyuma kukaza, anajaribu kuwa mwanafalsa kwa kujiuliza maswali magumu na kujijibu mwenyewe
View attachment 1204392
Siku iko Poa kabisaShwari kabisa, hofu kwako.
Siku inaendaje?
#HebuNioneHiyoAlbumBasi
Team wahenga tupo vizuriView attachment 1204380
Atakatuma mwakilishi me naogopa kukatuma
Haya sasa. Picha ya Depal ishafika kwa mtunza kumbukumbu wa uzi. Wala siyo picha ya kutisha. Ni picha ya baharia tu ambaye, baada ya vyuma kukaza, anajaribu kuwa mwanafalsa kwa kujiuliza maswali magumu na kujijibu mwenyewe
View attachment 1204392