Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 47,102
- 188,229
13:02
Karibu kula dear The Happiness
Karibu kula dear The Happiness
Nafurahi kwa kuwa TRM ishakufa rasmi vinginevyo ungesikia tu maneno maneno yasiyo na kichwa wala miguu
Enzi zetu kijiji kizima anashinda mtu mmoja kwenda sekondari. Siku hizi darasa zima, hata wasiojua kusoma na kuandika, wanakwenda sekondari. Tumetoka mbali !!!
Wasukuma tunaamini kuwa chatu ana maajabu. Hata ukikutana naye huruhusiwi kumuua. Na kama una kambwa kagonjwa gonjwa hivi unampa ili upate kibaraka
Wapare ni wabishi na wakorofi nachulale. Vijamaa vifupi lakini vikorofi balaa. Hovyo tu yaaniSwala la muda tu bro yatakaa sawa soon (Tuseme InShaALah)
Vipi umeacha ukorofi wako lakini?
Hahaaa mnanifurahishaHehehe! Acha nicheke tu maana kitambo sijafurahi
#Happybirthday
Peramiho yako pia haiingiliki TH?Baharia Kafanya hali imekuwa mbaya PeraMiho,
Unajua hiyo 7,800 aliipataje? Halafu inaliwa na mganga wa kienyeji aliyevaa sweta la Tanzania tu kizembe? Baharia ana pointi japo naye alizidi hasa ukizingatia kuwa tayari alikuwa keshapiga kimdabuo...Hahahaha yule baharia shuain zake kabisa. Yaan ka elfu saba tu na bado analalamika hajibiwi PM
Ka nani?tupia tukaoneKuna kapicha natamani kukatupia ila najishtukia 😅😅
Hahaha thank you ila ni birthday ya mwingine .Mzima kabisa,za mida hii?Happy belated birthday Numbi? U mzima wewe?
Hata kama si alifidia kwa kimdabuo.Unajua hiyo 7,800 aliipataje? Halafu inaliwa na mganga wa kienyeji aliyevaa sweta la Tanzania tu kizembe? Baharia ana pointi japo naye alizidi hasa ukizingatia kuwa tayari alikuwa keshapiga kimdabuo...
Unataka kuchomoa betri ama? Kama ni kapicha ka msambwanda please katupie tuoshe machoKuna kapicha natamani kukatupia ila najishtukia
Kimdabuo hakikumfurahisha. Kilikuwa cha kiwango cha chini sana so kikamzidishia maumivu tu na hasiraHata kama si alifidia kwa kimdabuo.
Sana tumetoka mbali sana sisi wahenga.....maandaeitini hapa hata hawaelewi tunaongelea niniEnzi zetu kijiji kizima anashinda mtu mmoja kwenda sekondari. Siku hizi darasa zima, hata wasiojua kusoma na kuandika, wanakwenda sekondari. Tumetoka mbali !!!
Kuna kapicha natamani kukatupia ila najishtukia
Unataka kuchomoa betri ama? Kama ni kapicha ka msambwanda please katupie tuoshe macho
Mtunza kumbukumbu hapa ni mimi. Depal rusha hiyo picha kwangu halafu nitaiediti na kuiweka hapa...Itupie kwenye PM yangu, mi ndiye edita wa picha