mzee wa liver
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 81,403
- 422,750
Tunamshukuru mwenye enzi mkuu kwa talanta hizi anazotujaliaSalama kabisa mkuu. Habari za majukumu!
Tunamshukuru mwenye enzi mkuu kwa talanta hizi anazotujaliaSalama kabisa mkuu. Habari za majukumu!
Nipo salama kamanda. Kukoje huko kwako? Kamalaika ketu kanaendeleaje? Mamake je?Mkuu habari za jumapili
Amun RaSijambo. Uwe na siku njema pia
Naomba mpigwe hakuna namna hapo keshoSalama kabisa mzee wa jumong.za wiki nzima?
Jana alisema eti kuzunguka na matoroli ya maua, magauni ya bluu, viatu vya mchuchumio na makreti ya mvinyo ni jadi yenu Wakerewe. Kuna ukweli katika hili?Poti niaje mambo vipi Nansio wanasemaje
Kama kawaida lakini naona ligi ngumu sana season hiiSalama mkuu,habar za kupotea?
Naona bado mnaendelea kuwasha moto epl
Nimeiona sehemu muhimu. Nadhani ni kweliHii habari ni kweli ama ni fake news
Nashukuru Mungu hawajambo kabisa tupo kwenye majukumu yetu tunapumzisha akili jumapili hii kwa kupata mambo yetuNipo salama kamanda. Kukoje huko kwako? Kamalaika ketu kanaendeleaje? Mamake je?
Tumshukuru Mungu kamanda...
Memba gani kafariki kamanda?Kweli mkuu
Nje ya mada hivi JF wanautaratibu gani kama member amefariki hili members wengine tujue hizi fake ids shida kidogo
K-VANT na jibapa vinahusika leo...Nashukuru Mungu hawajambo kabisa tupo kwenye majukumu yetu tunapumzisha akili jumapili hii kwa kupata mambo yetu
Haina shida nasubiri muongozoNgoja nikuone ankoo,samahani kwa usumbufu
Talanta eeeh!?Tunamshukuru mwenye enzi mkuu kwa talanta hizi anazotujalia
Hahahaha hapo amekulisha matango poriJana alisema eti kuzunguka na matoroli ya maua, magauni ya bluu, viatu vya mchuchumio na makreti ya mvinyo ni jadi yenu Wakerewe. Kuna ukweli katika hili?
Tumefurahi pia mkuu,,Mungu ni mwemaNamshukuru Mungu niko salama, nafurahi kuwakuta wazima.
Tena ile ajali ya mafuta Moro Numbisa alikuwa na wasiwasi nawe sana. Kilicho saidia nilikuchungulia kwa kutumia darubini yangu, nikaona umekumbatia mi kvant werevaaa kibaoo, nikajisemea tu "huyu shwaini watu tuna kosa hadi likes kumbe yupo hapa na mibotolo yote hii..."Kweli mkuu
Nje ya mada hivi JF wanautaratibu gani kama member amefariki hili members wengine tujue hizi fake ids shida kidogo
Ok, ahsante AnkooHaapo sijui anko ila muyaya kaibuka upya either alibadili jina tu siku hizi yupo active siasani
Ipo vizuri sanaUmeshaiangalia hii?ipo vizuri?
#natakaniwavutiewatoto
#ninaosabaujue
Sana mkuu,,chochote kinaweza tokea msimu huuKama kawaida lakini naona ligi ngumu sana season hii
Tayali ankooHaina shida nasubiri muongozo
Yule hakuwa mchovu ukiangalia kwa jicho la tatu hilo andiko watu wote wanamlaumu yule aliyefukia lakini kiuhalisia alikuwa sahihiTalanta eeeh!?
Mnazizalisha au mmezifukia chini kama yule mchovu wa kwenye maandiko?