Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 177,695
- 1,074,213
Huna haja hata ya kumpiga utakwenda jela bure. Unamuuliza tu kwa dhati kabisa "Ni kwa mamlaka gani na mwongozo upi wa kazi yangu unaniambia nipige magoti? Ni sheria gani ya kazi inayokupa mamlaka ya kunidhalilisha?" Halafu kaa kimya uangalie sinema ya bure...Shida sisi waoga na hatujiamini.Inasikitisha sana.Hivi alishindwa nini hapo kumpiga vichwa viwili mdomoni yaani mimi kwa hasira zangu hizi kazi ingeishia siku hiyo.