Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 178,203
- 1,077,366
Not applicable..Sijui kuigiza mie...
kajiwahi mpaka katushangaza wananzengo
😂😂😂😂 tumeshapitisha ni chake hicho
Thanks bro
That’s my buroo habari Ndugu yangu natumaini vijana wazima na mama yao
Alifikiri akijitetea itasaidia? Kwenye uzi huu kuna kujitetea?tumeshapitisha ni chake hicho
Mweee sijambo ni mambo ni kama hivi
Poa bro Mungu atujaalie uzimaMwaka mpya wa skuli ukianza nitakuwepo...
Supp yaani kama naziona
Kumbu kumbu yake tayari tunayo mpaka pale atakapoamua kuprove 😀Alifikiri akijitetea itasaidia?
Tumshukuru Mungu sana. Mtaa ule kwangu ndo ulikuwa Yunivasite aisee. Nilijifunza mengi kuhusu maisha na mahusiano na watu; hasa hasa suala la mademu pale. Sasa hivi pamebadilika nimepita pale juzi hovyo tu yaani...
Huku kwema mdogo wangu. Habari ya Vingunguti ? Muda wote nakuombea.
Yalikuwa mapito ya ujanani hayo, mimi na SYB tulikaa mtaa ambao ulikuwa na mabinti wakali kuliko mitaa yote ya Wailes
Harakati za PimbiUjana wako una visanga vingi mno vya kusimulia.
Kwema baba angu nashukuru,nimekukumbuka tu.
Wazima huko?
Huku kwema mdogo wangu. Habari ya Vingunguti ? Muda wote nakuombea.
Yalikuwa mapito ya ujanani hayo, mimi na SYB tulikaa mtaa ambao ulikuwa na mabinti wakali kuliko mitaa yote ya Wailes
😂😂😂😂 bro hicho kidole sio poaNdio hivyo.
Esta na wenzako mtakua hata hamjui hii ni nini
View attachment 1125404
#HichoKidoleSioChangu