Fragaria
JF-Expert Member
- Jan 10, 2019
- 7,188
- 40,444
Duh! Kazi mnayo!
Huwa naupenda sana ushauri anao utoa daktari "pamoja na hizi dawa uwe unafanya mazoezi ya kutembea tembea" sasa ile unaingia kitaa kwa mazoezi ya asubuhi,mara limdada hilo na kitenge kimoja linaenda kwa mangi kununua mkate...
Sipatagi shida, naahirisha mazoezi naagiza Pepsi Kubwa tena ya moto ili niendelee kufaidi uumbaji..
Mkuu naona maendeleo ni mazuri. Tumshukuru Mungu