Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"


Huwa naupenda sana ushauri anao utoa daktari "pamoja na hizi dawa uwe unafanya mazoezi ya kutembea tembea" sasa ile unaingia kitaa kwa mazoezi ya asubuhi,mara limdada hilo na kitenge kimoja linaenda kwa mangi kununua mkate...
Sipatagi shida, naahirisha mazoezi naagiza Pepsi Kubwa tena ya moto ili niendelee kufaidi uumbaji..

Mkuu naona maendeleo ni mazuri. Tumshukuru Mungu
Duh! Kazi mnayo!
 
VR
images (1).jpg
 
Bado miaka bilioni tatu na nusu. Nyota yetu hii (jua) itamaliza nishati yake (Haidrojeni na Helium). Itaanza kupanuka na kuvikaanga visayari vya karibu (ikiwemo dunia) kabla haijakolapsi na kuwa kablack hole. Ila mpaka wakati huo binadamu atakuwa ameshahamia kwenye masayari mengine huko kwenye magalaxy ya mbali...

View attachment 1125379
😁 Sawa!!
 
Back
Top Bottom