Mkurugenzi wa Boca Juniors Nicolas Burdisso ana matumaini ya kumleta iungo wa kati wa zamani wa Roma na Italia Daniele de Rossi, mwenye umri wa miaka 35, katika klabu ya Argentina, licha ya ripoti kuwa amepanga kujiunga na upande wa ligi ya MLS katika kikosi cha Los Angeles FC. (Closs Continental via Yahoo)
 
Mlindalango wa Costa Rica Keylor Navas, mwenye umri wa miaka 32, anataka Real Madrid imlipe miaka miwili aliyobakiza ya mkataba wake na imuache aende msimu huu wa miaka miwili, lakini klabu hiyo inataka ilipwe euro milioni 20 kwa yeyote atakatemtaka mchezaji huyo . (AS - in Spanish)
 
 
Huku siwezi kulalamika bro...

Niko sehemu fulani hapa napata msosi kuna misambwanda ya kufa mtu dah. This is just too much jamani

Huwa naupenda sana ushauri anao utoa daktari "pamoja na hizi dawa uwe unafanya mazoezi ya kutembea tembea" sasa ile unaingia kitaa kwa mazoezi ya asubuhi,mara limdada hilo na kitenge kimoja linaenda kwa mangi kununua mkate...
Sipatagi shida, naahirisha mazoezi naagiza Pepsi Kubwa tena ya moto ili niendelee kufaidi uumbaji..

Mkuu naona maendeleo ni mazuri. Tumshukuru Mungu
 
Huku siwezi kulalamika bro...

Niko sehemu fulani hapa napata msosi kuna misambwanda ya kufa mtu dah. This is just too much jamani
Nakuonaaa...
IMG-20190612-WA0000.jpg
 
915 Reactions
Reply
Back
Top Bottom