myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 146,879
- 652,681
Mungu atulinde na kila baya..
Mh ipi na ipi mkuu.Daku ipi mkuu maana kuna mbili
Amun Ra
Namshukuru Mungu kaniamsha na kuianza siku salama.
Niaje kiongozi ? Salamu zake mgeni wetu
Mwite huku tumemmiss sanaKuna mitaa fulani nimemuona...
Uzee huu acha tu
AminaAmani itawale siku yetu..
Wala daku wanajuaMh ipi na ipi mkuu.
Me nakula ila daku ninayoijua ni moja tu sheikh...Wala daku wanajua
Poa mzee wa liverMamboz consuela
Hello VE