Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 264,065
- 1,075,502
Alikamatia filimbi pia kwenye kipute cha Ngao ya Jamii 2014, wakati Arsenal ilipokandamiza Man City 3-0. Oliver naye ni mwamuzi mwenye beji ya Fifa na amekuwa akichezesha pia mechi kadhaa za Ligi ya Mabingwa Ulaya na mechi za kimataifa.