Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

.ALIYEKUWA kocha msaidizi wa Sir Alex Ferguson kwenye kikosi cha Manchester United, Rene Meulensteen amefichua kuwa kocha huyo kwa sasa ana furaha kubwa kutokana na Ole Gunnar Solskjaer kuirudisha timu kwenye ubora wake.
 
FB_IMG_1549904584783.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa sasa anaona kama vile ni yeye yuko kwenye usukani kwa kile kinachoendelea kwenye klabu. Sir Alex, ni kama mashabiki wengine wa timu hiyo, walikuwa kwenye hali mbaya kwa kipindi cha miaka mitano na nusu.
 
Sir Alex anafurahishwa na Ole. Furaha kwa asilimia 100. Anafurahia mambo ya Ole. Anafurahi kwa jinsi United inavyocheza. Siku zote alikuwa akiwaambia wachezaji: ‘Nipeni kitu cha kushangilia. Kama mtaniburudisha, basi hapo mtakuwa mmewaburudisha mashabiki’. Ole amechukua hiyo na anaifanya Man United kwa sasa.”
 
Lineker alisema: “Nimekuwa na wasiwasi kuhusu haya majeraha ya mara kwa mara ya enka. Inaonekana kuna tatizo mahali. Hakuna mchezaji anayetaka kuumia, lakini hapa inaonekana kuna udhaifu mahali.”
 
Kane alitarajiwa kuwa nje ya uwanja kwa miezi miwili, lakini sasa anatazamiwa kurudi uwanjani hivi karibuni kwa mujibu wa taarifa zilizofichuliwa na klabu yake ya Tottenham.
 
Back
Top Bottom