Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 267,547
- 1,091,837
Kitu kinachosubiriwa ni kuona mashabiki watampokea mchezaji huyo kwa staili gani kama watamshangilia kama walivyofanya kwa mastaa wengine kama David Beckham na Cristiano Ronaldo au atakumbana na kelele za kuzomewa. Kwenye mechi hiyo, PSG haitakuwa na huduma ya supastaa wake, Neymar, lakini kuna wasiwasi pia huenda Edinson Cavani akakosa mechi hiyo.