Klabu hiyo ya jijini Turin itataka kujihakikishia ushindi dhidi ya Bologna ambao ni wa tatu kutoka mwisho katika msimamo wa Serie A, ili wawe katika nafasi nzuri ya kushinda kombe hilo kwa mara ya 14.
Juventus inayonolewa na Massimilano Allegri bado haijapoteza mchezo wowote katika ligi za ndani kwa msimu huu, huku kikosi chao kikiwa na utajiri hasa eneo la ushambuliaji wachezaji kama Cristiano Ronaldo, Paulo Dybala.
 
Ronaldo amefunga jumla ya magoli 14 katika ligi, goli moja pungufu ya magoli ambayo kikosi kizima cha Bologna kimefunga (15), mreno huyo amekuwa katika kiwango kizuri tangu alipowakacha mabingwa wa Ulaya Real Madrid.
 
Newcastle imeungana na Liverpool katika kinyang'anyiro cha kumsajili kiungo wa kati wa Trabzonspor Abdulkadir Omur.
 
Kiungo wa kati wa Manchester United na Uhispania Juan Mata, 30, amesema hajui hatima yake ya siku zijazo baada ya kandarasi yake kukamilika mwisho wa msimu huu. (AS - in Spanish)
 
Origi, 23, aliifungia Liverpool bao moja wakati wa mchuano wao wa kombe FA dhidi ya Wolves siku ya Jumatatu. (Birmingham Mail)
 
Meneja wa klabu hiyo Maurizio Sarri anajiandaa kulipa euro milioni 45 kumnunua kiungo huyo wa kati wa Cagliari kujaza pengo linalitarajiwa kuachwa na Cesc Fabregas. (Tutto Mercato, via Talksport)
 
Fulham wako katika mazungumzo ya kumsaini beki wa kulia wa Bordeaux na Senegal Youssouf Sabaly, 25. (Sky Sports)
 
Mneja wa Watford Javi Gracia amesema kuwa hatamsajili mchezaji yeote mwezi msimu huu wa uhamisho. (Independent)
 
Rais wa Benfica Luis Filipe Vieira anatarajiwa kuzungumza na aliyekuwa meneja wa wa Manchester United Jose Mourinho kuhusu uwezekano wa yeye kurudi nyumbani na kuongoza klabu hiyo. (A Bola - in Portuguese)
 
Swansea City na Sunderland ni miongoni mwa vilabu vinavyopania kumsajili mshambuliaji wa Ayr United Lawrence Shankland.
 
Meneja wa klabu hiyo Ian McCall amesisitiza kuwa mkataba wowote utakaofikiwa lazima umshikilie mchezaji huyo kuchezea klabu yoyote ya Uskochi kwa mkopo hadi mwisho wa msimu. (Wales Online)
 
Real Madrid pia wanapani kurudisha meneja wao wa zamani, Jose Mourinho katika uga Bernabeu lakini watalazimika kuilipa Manchester United euro milioni 10m ikiwa watamuajiri. (Sun)
 
915 Reactions
Reply
Back
Top Bottom