Last month, Tanzania’s central bank suspended five banks from trading in the interbank foreign exchange market for one month for breaching regulatory rules.
The suspension came days after the central bank conducted surprise inspections of foreign exchange bureaus in the northern town of Arusha, a tourist and gemstone trading hub, in a crackdown on illegal forex trading and money laundering activities.
Juventus imeripotiwa kuanza mjadala wa kutazama uwezekano wa kumrudisha kiungo, Paul Pogba kwenye kikosi chake baada ya kuiuzia Manchester United miaka miwili iliyopita.
Bosi wa Juventus, Fabio Paratici amethibitisha kuwapo kwa mpango huo wa kumsajili Pogba baada ya supastaa huyo wa Ufaransa kuwa na wakati mgumu Old Trafford kutokana na kutibuana na Kocha Jose Mourinho.
In January, the central bank had revoked the licences of five "critically undercapitalised." community banks in January to protect financial stability.
Pogba aliondoka Juventus mwaka 2016 akirudi Man United kwa ada ya Pauni 89 milioni, ambayo ilivunja rekodi ya uhamisho kwa wakati ule, lakini mambo yake yamekwenda hovyo tofauti na alivyodhani baada ya kurudi kwenye Ligi Kuu England.
Pogba na Mourinho wapo kwenye uhusiano mbaya sana baada ya hivi karibuni kocha huyo kumsema mchezaji wake kuwa ni kirusi, anawaharibu wachezaji wengine kikosini.
Wakati dirisha la Januari likiwa karibu kufunguliwa, kumekuwa na ripoti Pogba anaweza kurudi zake Turin kwenda kuungana na Cristiano Ronaldo kwenye kikosi cha Juventus.
The IMF's latest stress tests revealed that six banks in Tanzania were currently undercapitalised, while 37 out of 45 banks showed varying degrees of under-provisioning by the end of last year.
Kinachoelezwa Pavel Nedved amekuwa akishirikiana ana kwa ana na Kocha Massimiliano Allegri katika kuhakikisha Juventus inawanasa wachezaji inaowahitaji kwenye kikosi chake.
Pogba alicheza kwa miaka minne kwenye kikosi cha mabingwa hao wa Serie A kabla ya kurudi England ambako awali aliwahi kucheza kwa muda mfupi kwenye kikosi cha Man United.
The IMF advised the government to enhance surveillance and monitoring of liquidity risks in the foreign exchange market and undertake measures to mitigate them.
The IMF also said bad loans posed a risk to the country's financial system, with bank asset quality deteriorating in recent years, hence increasing the need to raise provisions.
Non-performing loans ratio industry-wide increased from 6.8 percent in 2014 to 11.5 percent in 2017 while at end-2017, 24 banks had NPLs ratios exceeding 10 percent, the IMF said.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.